Recent content by E2E

  1. E

    Haya mambo ya kipumbavu mmeyalea wenyewe, mnacholalamika ni nini?

    Tunashukuru kwa kupunguza gape la point lakini pia naona mtibwa kashonwa mwenyewe badala ya kupiga kwenye mshono
  2. E

    Mechi 42 unbeaten lakini wameshindwa kuingia makundi CAF!

    Manara ndio mzungu
  3. E

    Simba tujipange, Uto wamekamia kumalizia hasira yao tarehe 23/10/2022. Tawi la mwisho liteleze!

    Wachezaji walioifikisha Simba hatua ya Makundi.
  4. E

    Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

    Kumbe pangekuwa pa hivyo lakini maana si pa hivyo ndugu. Hahahahaha!!!
  5. E

    Punguzo maalum infinix hot 10 kwa laki na nusu tu, karibu

    Zanzibar ni matapeli tu hamna biashara hapo mi nilishapigwa
  6. E

    Uhamisho wa mtoto wa Darasa la Nne

    Habari zetu wanajamii Forum Samahani sana ndugu naomba kwa mwenye kufahamu utaratibu wa kumhamisho mtoto wa darasa tatu kwenda darasa la nne kutoka mkoa mmoja kwenda mkoa mwingine. Na je kuna uwezekano wa kumkaririsha mtoto darasa yaan kama alikuwa darasa la tatu mwaka jana basi aendelee kusoma...
  7. E

    Ukilewa huwa unakuwa na tabia gani?

    Hahahahaha! Duh kweli tungi nomaaaa
  8. E

    TANZIA Mtoto wa Masoud Kipanya maarufu Malcolm the Believer amefariki dunia

    2 Tim 4:7 "Nimevipiga vita vilivyo vizuri, mwendo nimeumaliza, Imani nimeilinda." Poleni sana Mr. & Mrs. Masoud Kipanya
  9. E

    Clinical officer natafuta wa kubadilishana kituo cha kazi

    Hapana sio kweli kabisa. Mimi kule Mpwapwa ndio home na sijawahi na ni mji uliochangamka vizuri tu acha kupotoshwa
  10. E

    Shemeji kaniomba aje kulala nyumbani kwangu

    Huyu jamaa unampatia mke wa rafiki yake 50,000 ili kuchochea mgogoro badala ya kusuluhisha
Back
Top Bottom