Mkome kabisa, tena hata mnapolala mfukuzwe pia mkalale Nyegezi, ule wimbo wa kuisoma namba mliukomalia sana 2015 mlidhani unabagua? Mmetumika kama bazoka now mnalia.
Enzi zile mzee akija nyumbani basi atakutana na tv ina rangi ya blue kuashiria imezimwa muda si mrefu, kila mmoja yuko chumbani anasikilizia sauti ya baba atamuita nani.
Mzee tulimpa majina mengi sana kutokana na tabia hii, mara mjerumani, mpalestina lakini kutoka na hili tukio nimejifunza kitu...
Kama sio mpenzi wa kupiga hawa watu kama mimi inakera sana, ila wale ambao wanapiga wanaona kawaida tu.
Kuna kibar nilihama kwa upuzi huu, mhudumu hajiongezi nimeenda na demu wangu anauliza kaka vipi kama kawaida nami niagize? Aliniachia ugomvi mkubwa mjinga yule.
Hawa walipendelea upande mmoja kipindi cha kampeni kuliko hata redio na gazeti la chama tawala, hata Chanel ten walikua bora kidogo.
Anyway wacha tuisome namba, hope watajifunza kitu.
Hata mimi nilielewa logic yake but kuongea ukweli kumekufanya wewe unione mimi mkenya.
Tunajifanya tuna akili sana kuwazidi wao ila ukweli ni sawa na china na USA tu, mjinga anaweza waona USA wajinga kuliko china lakini si kweli, china anapambana kusonga usa anapambana kubakua juu.
Nikupe...
Hoja yangu Kenya wanatuzidi ili tuendelee labda sisi tuwaige wao njia walizotumia kufika walipo na sio wao waungane na sisi ili wafanikiwe.
Upo hapo mkorinto wa kigogo?
Teh teh teh! Siku nyingine usijitoe akili, alafu mimi sio mkenya nishakwambia naandika haya nikiwa chato kwenye ujenzi wa kiwanja cha ndege cha kimataifa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.