Kuna Vi mwanamke viko Selective!!

Kuna Vi mwanamke viko Selective!!

Wanawake leo umeamkiwa sijui mleta mada usiku wakuamkia leo mmefanya nn
 
Fanya mazoezi mkuu punguza kitambi, ongeza juhudi kuzitafuta pesa hutachukia tena hizi kauli na wewe utakuwa selective.
 
hahahaha..hiiiiii....mkuu pole....ila kwa malalamiko hayo unaonekana kabisa sio ka saizi kako mkuu......huyo umri wake unamruhusu kuchagua hivyo...we msubirie akifika ile miaka elekezi...kwa mdomo wake mwenyewe atakuambia, "cha muhimu mapenzi tuu"
 
Nikusaidie picha ...
IMG_20190610_134612_389.jpg
 
Ha ha ha kweli mmeamua lakin hii si democrasia jamani mtu anachagua anachotaka.
 
Back
Top Bottom