Vladimir Lenin
JF-Expert Member
- Jul 21, 2018
- 3,613
- 5,138
dawa yao ni kuwaletea karandinga liwazoe kama mchanga likawatupe baharini mabwege hawa. Pambaneni na hali zenu.Hivi sheria ya kazi inasema mkidai muajiri mkalale mlangoni mwa ofisi yake?
dawa yao ni kuwaletea karandinga liwazoe kama mchanga likawatupe baharini mabwege hawa. Pambaneni na hali zenu.Hivi sheria ya kazi inasema mkidai muajiri mkalale mlangoni mwa ofisi yake?
Wasubiri kampeni za uchaguzi wa 2020 huenda wakalipwa Kama sio Diallo angalau Ccm watawapa chochote ili watangazwe vyema hapo wataweza hata kubadilisha mboga.Diallo kubali umefilisika,mlizoea kuneemesha biashara zenu kiujanja ujanja. Sasa kama ndo hali halisi inaonekana. Uza ulipe watumishi stahiki zao.
Kumbe hawapo tena hapo. Ukiwa na shida na kingamuzi chao unaenda wapi? Hivi vitu wawaachie Azam TVNdo maana Ofisi zao Kaloleni Arusha sizioni tena?
Poleni sana. Nakumbuka mwaka jana niliona watumishi hao na mabango yao wakimsimamisha cde Bashiru pale CCM Kirumba, kumbe hakutatua tatizo!
Kwa kifupi ni kwamba hiyo Sahara Media imefilisika! Diallo aliingizwa mkenge na Marehemu Mengi kwenye digital telecasting!
Laana ya kujiambatanisha na ccm itawatafuna hadi kaburini kudadeki , Masikini wakubwa nyie !
GE2015 - Magufuli: Nikifanikiwa kuwa rais nitakulinda kwelikweli Diallo
Ndugu wana-JF habarini. Mimi kama Mtanzania mwenye uchungu na nchi yangu, mnalichukuliaje suala la mgombea urais kupitia CCM kumwambia Antony Diallo kuwa atamlinda saaana kupita maelezo pindi atakapoingia Ikulu? Ndugu zanguni imekaaaje hii, kwa kiongozi kutamka hivyo mbele ya wa wana-CCM na...www.jamiiforums.com
Wafanyakazi wamegoma.
Sasa mbona bado Star Tv naipata? Au wamegoma kidogo wengine wanaendelea?