Mizinga ya Bar maids

Mizinga ya Bar maids

Ule uzi nakukumbuka sana

Nilimwambia naomba utafiti wake uwe wa uongo.
Ha ha ha kuna mdau mmoja alianzisha Uzi unasema Asilimia cjui ngapi nimesahau kidogo ya wahudumu Wa bar wana HIV+, na alisema amefanya utafiti
 
Mimi nikiingia bar. Nikiagiza beer namuambia barmaid na wewe chukua kinywaji chako. Ya pili hivyo hivyo mpaka ya nne. Ya 5 naanza kupima oil bila upinzani wowote. Ya 6 namwambia akamuage matron.
Bar sehemu ya ushenzi. Sasa wewe hata beer moja ya 2500 waiona expensive? Ninyi ndio ambao ukiona mtu amekaa na barmaid unafikiri anamtongoza.
Unamaanisha nikiwa nina kiu ya bia na nina hela ya kununua bia zangu tu pasipokuwa na ya kumnunulia mhudumu nisiende bar?
 
Mkuu kama huna au hutaki we sema tu huna hela yaishe. Hamna haja ya kujaribu kubadili system, utatumia nguvu nyingi.
 
Kama sio mpenzi wa kupiga hawa watu kama mimi inakera sana, ila wale ambao wanapiga wanaona kawaida tu.

Kuna kibar nilihama kwa upuzi huu, mhudumu hajiongezi nimeenda na demu wangu anauliza kaka vipi kama kawaida nami niagize? Aliniachia ugomvi mkubwa mjinga yule.
 
Kama sio mpenzi wa kupiga hawa watu kama mimi inakera sana, ila wale ambao wanapiga wanaona kawaida tu.

Kuna kibar nilihama kwa upuzi huu, mhudumu hajiongezi nimeenda na demu wangu anauliza kaka vipi kama kawaida nami niagize? Aliniachia ugomvi mkubwa mjinga yule.
Ha ha ha daaa hapo asee lazima kiwake
 
mteja bahiri kama nini 😀😀😀
 
Back
Top Bottom