Recent content by E Original

  1. E Original

    Msaada huawei Y550 L02 imegoma kuwaka baada ya kufanya rooting

    Mkuu nami nisaidie simu yangu ni Huawei Ascend Y550-L02 (also known as Vodafone Mario Y550) azingiliani na version uliotoa apo juu nisaidie kama naweza kupata firmware au solfware update ya hii simu imezima ghafla ikuwaka aiendelei chochote.
  2. E Original

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Mi nipo idara ya msingi anayetaka kuja mabira,kyerwa 2wasiliane 0768661134 awe anatoka Mwanza,Misugwi au kibaha,Mtaharifu na mwenzako
  3. E Original

    Majina ajira za Ualimu 2014 haya hapa

    Msaada kisimu changu hakifungui,Paulo M. Tungaraza SHAHADA.
  4. E Original

    Majina ajira za Ualimu 2014 haya hapa

    mkuu mbona mtu kaniambia kinyume na wewe ebu rudia kuangalia Mina M Elkana Diploma
  5. E Original

    Majina ajira za Ualimu 2014 haya hapa

    Naomba kuangaliziwa ,kwangu mtandao unasumbua,MINA ELKANA -DIPLOMA Bunda TTC
  6. E Original

    Natafuta Kazi Hotel Management

    Wanajamvi naomba msaada kwa mtu yoyote aliyesikia tangazo la kazi kwa walio soma hotel management,kwa dada yangu yupo nyumban zaidi ya mwaka akitafuta kazi mpaka leo. naomba mwnywe update ya kazi, jamani ni serious
  7. E Original

    Tatizo la circle cell limealibu penzi langu,msaada zaidi wa kimawazo!

    Pole sana kaka lakini mi cna mchango wa kimawazo maana nilikimbia masomo ya sayansi. Napita TU.
  8. E Original

    Lulu kuachiwa kwa Nolle

    Hiki kitoto kikitoka kitaconcentrate na mambo ya dini halafu katakuwa kamejifunza heshima kwa watu wote.
  9. E Original

    Mke wa mtu anisumbua mimi nifanyaje?

    Uamuzi ni wako mwenye sababu hupo kimasomo na unaishi kwa kaka yako inaonekana kama ukimukubalia na kuanza maisha ya kimapenzi baadae tena akijitokeza kijana mwingine uoni kama hata kuacha wewe pia.kwa ushauri achana naye na usitake mazoea naye.
  10. E Original

    Mume wangu kantongoza

    inaonekana we unaye mtu wa nje coz ulipopanga kukutanae kivip na kama asingekuwa mumeo ingekuaje?
  11. E Original

    Mume wangu kantongoza

    kwa bahati mbaya umekaririshwa kughalifika ni kusahau rudi shule au funua kamusi uonealikuwa na maana gani kuandika hivyo!
  12. E Original

    Challenges nilizoziface ndani ya jf tangu nimejoin mpaka sasa

    Asante kwa kushare exprience yako kuhusu jf ambayo imenifanya nipate uzoefu fulani kuhusu jf na pia itabidi kuamia katika kusoma habari lakini sinampango wa kuaga member sababu nahisi sife kesho wala kesho kutwa.licha ya hayo karibu tena! (UKISOMA UTAKULA VYA USIYESOMA)
Back
Top Bottom