Akagando
JF-Expert Member
- May 24, 2012
- 533
- 116
Nilikuwa na Mpenzi ambaye tumekutana katika Somo lakini Mpenzi huyu anakuwa akijishitukia mara kwa mara kwa kuniambia hapendi kuumizwa kwa sababu alishakuwa na mpenzi ambaye alimtenda lakini nimejaribu kuulizia kwa Wenzangu wanao mfahamu wanadai ana ugojwa wa Sickle Cell ndio maana hapendi kuwa na Mpenzi na hivi juzi akanipigia simu nikiwa likizo na kudai hanitaki,nimejaribu kumuuliza sababu anadai hataki kuhumizwa katika Mapenzi.Jamani wana JF nisaidie msaada wa kimawazo kuhusu kuoa mwanamke mwenye ugojwa wa sickle Cell Anemia,