kiuhalisia hiyo vazi ndio halina shida sana ila shida inakuja kwenye hizo bolded area kwenye matiti na hiyo hapo chini.kitendo cha hayo maeneo kukozwa kinafanya mtazamaji wa azingatie/aone kirahisi..
ata sijaelewa kitu mara 1M views mara audio mara rayvan na nandy mar ruge, mara kukaa uchi, mara vanessa mdee, wai
inshot ni kutoa maoni/mawazo yako ila umehusisha vitu vingi ata havikua na ulazima...
iv kijana unapata wapi nguvu ya kuongea vituko vya namna hii et zuchu ni queen wetu ππππππ em ni log out kbsa maana hizi ni kauli nlitegemea ntazionaga tu Facebook ππππππππ
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.