Nadhani after Magufuli angefata yeye kwa ule utaratibu wa kubadilishana hata kwa dini. Ila Mama akimaliza mitano yake hii wanaweza kutuletea wa kutoka Mainland huku
Kwa sasa utamshauri mtu awekeze kwenye hisa za kampuni zipi? We see CRDB current price imedrop from 1600 to 1140, in market for traders ukiangalia graph yake unaweza sema ipo in correction phase, is it a good time to buy ? With the principle of buy low and sell high? Naomba view yako
Brother hebu hata jaribu kujielimisha mwenyewe. Una Internet , vitu vingine sio vya kuuliza. Kama ni information , u cab just get it on ur palm kuondoa ujinga ambao sio dhambi kuwa nao.
Usipoziba huo uwazi inayotumia kupanda, itaendelea kupanda na ipo siku haitarudi kabisa. Na mwanaume testis zake hazitakiwi kuwa ndani kwa sababu zinaaffect pia sperms production...Mungu hakuziweka chini huko nje kwa bahati mbaya ndio maana wale wanaozaliwa ambao wanakuw na undescended testis...
Ana umri gani? Mpeleke hospitali inayoeleweka. Watafanya ultrasound kuangalia location ilipo, then kuna possibility ya kufanya upasuaji ishushwe na hiyo nafasi ambayo inaitumia kuascend iweze kuzibwa.
Testis haitakiwi kuwa juu, zinatakiw ziwe kwenye it's normal anatomical position chini.
Ambao hawako kwenye management sekta ya afya hasa hizi za serikali hawawez elewa kabisa hili, hospital hauwez kujiendesha bila kupata mapato. Hizi exemptions labda kama serikali ingekuw inaleta fungu kama wanavyofanya projection na OCs ,otherwise itabaki tu kuwa siasa
Achana na gari old model kijana....jichangechange utumie gari recent kidogo zenye upgrade ya vitu vingi including safety features...buy a car inayoweza kukulinda pia siku lolote likitokea
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.