Msaada mtoto wangu mbegu moja imepotea

Msaada mtoto wangu mbegu moja imepotea

4yrs si conclusion ya kukufanya wewe uone kuwa hiyo op. Haina madhara ama la,ni vizuri kutumia dawa za asili kuliko op. mkuu.
Usipoziba huo uwazi inayotumia kupanda, itaendelea kupanda na ipo siku haitarudi kabisa. Na mwanaume testis zake hazitakiwi kuwa ndani kwa sababu zinaaffect pia sperms production...Mungu hakuziweka chini huko nje kwa bahati mbaya ndio maana wale wanaozaliwa ambao wanakuw na undescended testis lazima zishushwe otherwise watapoteza uanaume wao.

Acheni masikhara kwenye vitu serious.
 
Unaweza kuwa sahihi sijui Sana kuhusu hili ila mbali na huyu mtoto wa brother nae alifanyiwa akiwa form 1 akiwa na miaka 13, mpaka sasa ni mtu nzima miaka 28 na tayari ana mtoto. Japo yeye walisema imeshakufa hivyo waliitoa kabisa ikabaki 1
Hii alichelewa sana kuishusha na bora waliitoa. Huwa zinacomplication zake pia zikibaki ndani, zinaweza badilika na kuwa kitu kingine
 
Ni mtoto wangu wa kwanza tulimpeleka kituo cha afya akapatiwa dawa ila hali bado. Kwa anaejua zaid kwa mliotangulia kupata watoto kabla naomba msaada wa mawazo
Vituo vingi vya afya vina MaCO ambao I can say they have limited medical knowledge kwenye kudiagnose mambo. Case serious go direct to hospitali kubwa.
 
Mnataka ya Nini, Kila mara kumchungulia mtoto hovyo. Kwenye baridi mara nyingi zinarudi ndani ya mwili na kwenye joto mara nyingi zinaning'inia nje. Hazipendi joto sana Wala baridi sana. Unyama mwingi
 
Hii alichelewa sana kuishusha na bora waliitoa. Huwa zinacomplication zake pia zikibaki ndani, zinaweza badilika na kuwa kitu kingine
Yap, aligundulika na hiyo shida akiwa mdogo ila kuna uzembe ulitokea mpaka akaja kufanyiwa akiwa form 1 ndo wakasema imeshakufa.
WA kwangu Mimi nilipogundua tu nikampeleka wakaicheck wakasema ni nzima wakajaribu kuishusha kwa njia ya kawaida( kuna dawa alipewa) ikashindikana ndio wakatumia option ya operation sasa wakaishusha na iko fresh tu.
 
Testicle zinafanya kazi in wonder way sometimes, wakati wa baridi hujisogeza karibu na mwili ilikukeep temperature, wakati wajoto hukaa mbali na mwili kulikimbia joto, hivyo huvutika chini,
,,, more to come.....
 
Yap, aligundulika na hiyo shida akiwa mdogo ila kuna uzembe ulitokea mpaka akaja kufanyiwa akiwa form 1 ndo wakasema imeshakufa.
WA kwangu Mimi nilipogundua tu nikampeleka wakaicheck wakasema ni nzima wakajaribu kuishusha kwa njia ya kawaida( kuna dawa alipewa) ikashindikana ndio wakatumia option ya operation sasa wakaishusha na iko fresh tu.
basi ukoo wenu una vimelea/vinasaba vya tatizo hilo.
 
Back
Top Bottom