Nikilewa mniache
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 19,282
- 51,883
Zina tabia ya kutoroka wakati wa baridi. Ondoa shaka zitarudiGololi za pumbu zile 2 moja hawaioni ndio wanaweweseka
Zina tabia ya kutoroka wakati wa baridi. Ondoa shaka zitarudiGololi za pumbu zile 2 moja hawaioni ndio wanaweweseka
Ndio wanaita Ngiri au Kasongo hua inakua hivyo pumbu zikipigwa baridi Gololi zina kawaida ya kuingia ndani zinakimbilia tumboni halafu inauma balaa mtoto anaweza akawa hasemi ila anasikia maumivu na kulia tu sema zina kawaida ya kurudi pumbu zikishapata joto lake la kawaidaZina tabia ya kutoroka wakati wa baridi. Ondoa shaka zitarudi
Mshipa sio Hernia, nahitaji kusahihishwa pia.
Mshipa (ngiri) ni korodani kuzama ndani, hutokea hasa wakati wa baridi, au ile alfajiri, na muhusika hupata maumivu makali ya kinena,
Hernia hii si ni busha? Ni kuwa pumbu zinajaa maji na kuvimba, ndo maana lazima ufanyiwe OP.
Pole,Ni mtoto wangu wa kwanza tulimpeleka kituo cha afya akapatiwa dawa ila hali bado. Kwa anaejua zaid kwa mliotangulia kupata watoto kabla naomba msaada wa mawazo
Haziumi.. zikiuma ujue kuna shidaNdio wanaita Ngiri au Kasongo hua inakua hivyo pumbu zikipigwa baridi Gololi zina kawaida ya kuingia ndani zinakimbilia tumboni halafu inauma balaa mtoto anaweza akawa hasemi ila anasikia maumivu na kulia tu sema zina kawaida ya kurudi pumbu zikishapata joto lake la kawaida
Unaijua NGIRI vizuri wewe? Ikikushika akili zinarukaHaziumi.. zikiuma ujue kuna shida
Sasa pumbu unaliitaje mbegu? Una uhakika wakati anazaliwa yote yalikuwa yameshuka? Kuna situation wakati wa kuumbwa huwa yanagoma kutelemka ama yote mawili (bilateral) au moja (unilateral) cryptorchidism. Katika umri wa miezi 6 yanaweza kutelemka yenyewe ila muda huo ukipita inabidi umpeleke kwa daktari pengine watashauri afanyiwe upasuaji hasa kama yamekwamia tumboni au kwenye inguinal! Bila msaada wa kuyatelemsha dogo anaweza kuja kuwa tasa pamoja na kwamba ataweza kubabua mbunye kama kawa, ila mbegu zitakuwa zinaunguzwa na joto la tumboni!Pumbu mkuu
Atapona tu ni suala la muda mwili waa mtoto au mtu yoyote unajijenga wenyewe haujemgwi na Daktari ungekua mwili unajengwa na Daktari Papa asingekufa maana Madaktari wamehangaika wameshindwa ngoma ngumuSasa pumbu unaliitaje mbegu? Una uhakika wakati anazaliwa yote yalikuwa yameshuka? Kuna situation wakati wa kuumbwa huwa yanagoma kutelemka ama yote mawili (bilateral) au moja (unilateral) cryptorchidism. Katika umri wa miezi 6 yanaweza kutelemka yenyewe ila muda huo ukipita inabidi umpeleke kwa daktari pengine watashauri afanyiwe upasuaji hasa kama yamekwamia tumboni au kwenye inguinal! Bila msaada wa kuyatelemsha dogo anaweza kuja kuwa tasa pamoja na kwamba ataweza kubabua mbunye kama kawa, ila mbegu zitakuwa zinaunguzwa na joto la tumboni!
watu wanaandika sana about uchaguzi mpaka key board imekalili,hawa ni miongoni mwa wale wa mitano tena. Job true trueUchaguzi ❌
Uchunguzi ✅
Ubinadamu ni kazi/The humanity is work.
Sina haja ya kuongeazea zaidi "" azingatie hii comment yako"""Ngiri hiyo. Mara nyingi hupona kwa haraka na wepesi kwa dawa za mitishamba kuliko hospitali.
Ongea na watu wazima waliokuzunguka, lazima watakuwa na dawa.
mwanao ana miaka mingapa baada ya oparesheni?Mpeleke hospital wakamwangalie. Mimi WA kwangu alipata hiyo shida akiwa darasa la 3, alipofanyiwa checkup akapewa dawa za kutumia ili kuona kama inaweza kurudi na niliambiwa baada ya muda nitarudi ili kama haijarudi basi afanyiwe operation.
Alipofika std 5 tukarudi tena hospital na akafanyiwa operation mpaka sasa Yuko poa kabisa.
NI tatizo la kawaida usiogipe, wataangalia kama ipo huko juu na bado ni nzima basi wanaishusha na kama itakuwa imekufa basi wanaitoa kabisa
yaani ukiingia jf,hata kama uwe na mawazo gani yataisha,hata ukiwa peke yako,ukisoma baadhi ya komenti za wadau lazima ucheke.Dawa ya mahaba ni hela, vipi unayo?
4mwanao ana miaka mingapa baada ya oparesheni?
4yrs si conclusion ya kukufanya wewe uone kuwa hiyo op. Haina madhara ama la,ni vizuri kutumia dawa za asili kuliko op. mkuu.
Ana umri gani? Mpeleke hospitali inayoeleweka. Watafanya ultrasound kuangalia location ilipo, then kuna possibility ya kufanya upasuaji ishushwe na hiyo nafasi ambayo inaitumia kuascend iweze kuzibwa.Ni mtoto wangu wa kwanza tulimpeleka kituo cha afya akapatiwa dawa ila hali bado. Kwa anaejua zaid kwa mliotangulia kupata watoto kabla naomba msaada wa mawazo
Unaweza kuwa sahihi sijui Sana kuhusu hili ila mbali na huyu mtoto wa brother nae alifanyiwa akiwa form 1 akiwa na miaka 13, mpaka sasa ni mtu nzima miaka 28 na tayari ana mtoto. Japo yeye walisema imeshakufa hivyo waliitoa kabisa ikabaki 14yrs si conclusion ya kukufanya wewe uone kuwa hiyo op. Haina madhara ama la,ni vizuri kutumia dawa za asili kuliko op. mkuu.
Kumbe huwa zipo? Sijawahi kujua mkuu4yrs si conclusion ya kukufanya wewe uone kuwa hiyo op. Haina madhara ama la,ni vizuri kutumia dawa za asili kuliko op. mkuu.