Recent content by dvedastuss

  1. D

    Mke wangu anajamba sana usiku, nifanyeje?

    jaribu kumshauri apunguze vyakula vya jamii ya kunde,alafu kila usiku ajitaidi kwenda haja kubwa bila shaka ataacha tu.
  2. D

    Zifahamu faida za kumeza manii kwa wanawake

    Bado cjaona faida hata moja yenye hamasa au nguvu ya ushawishi,uchafu tuu huo.
  3. D

    Niliuwa kwa kukusudia-1

    Aisee mzizi we nouma nice stori na yenye mafunzo mazuri kama vipi anzisha nyingine
  4. D

    Msaada jamani, Nashindwa kumuambia

    hata kama hutaki kucheka ukiingia jf tu lazima meno yawe nje. Hahahahahahaahahahahahhahhhaaahaahhahhahhhhhaaaa!!!!
  5. D

    Mothers' day 2014

    pongezi kwa aliyekuzaa kwa kumkumbuka,mama hafananishwi,kwani kama watoto wote wangekuwa wanajua jinsi mama zao wanavyoumia siku ya kuwaleta duniani sidhani kama kungetokea mtoto ambaye angemdharau mama yake!! NAKUPENDA SANA MAMA.
  6. D

    Niliuwa kwa kukusudia-1

    kama ni mapito bac hayo yamepitiliza, inaumaaa
  7. D

    Msaada: Natafuta kazi ya Fani ya Uhazili

    Asante mkuu, kuhusu salary tungepata tu ila kwa huko ni ngumu kuja kwani nina majukumu yanayonizui kwa sasa kufanyia kazi mikoa ya mbali labda ungekuwa morogoro ni nafuu kwangu ila usijali utapata tu mi nasema asante sana tena sana kwa msaada.
  8. D

    Nimechanganyikiwa wana mmu

    asante miss chaga ni kweli kama nikulia nimelia zaidi ya miezi miwili sasa ili hali bado nikiwa nakidonda cha uzazi hakijapona lkn kwa sasa kidogo naanza zoea hii hali kwani nimejua hata mtoto anateseka pia kwa kukosa maziwa kwani chakula kilikuwa hakipiti njaa ya uzazi sikuisikia matokeo...
  9. D

    Nimechanganyikiwa wana mmu

    kamwe sina ujasili huo wa kuua mtu hata anitendee nn ndio maana nikasema kuna imani potofu alopandikiziwa na rafiki zake na kwa nn nimuue mtu ninaye mpenda tena zaidi ndio baba wa watoto wangu? siwezi fanya hivyo na sitakuja fanya hivyo milele naamini Mungu yupo iko siku atamfungua na kumpa...
  10. D

    Msaada: Natafuta kazi ya Fani ya Uhazili

    Elimu kidato cha nne,fani secretarial and computer, level two, uzoefu miaka miwili kama PS na Cashier miaka miwili Vodacom branch ya wilayani, kwa sasa niko Dar es Salaam nimejaribu kutuma post sehemu mbali mbali bila mafanikio naomba wana Jf mnisaidie kwani najua kazi bila refa ni ngumu hata...
  11. D

    Mke wangu ananilazimisha kulala bila nguo

    vaa nguo mwaya asije mnyama akakutembelea bure lkn baada ya kugegedana
  12. D

    Nimechanganyikiwa wana mmu

    chanzo ni imani potofu na inamaliza sana hasa yule ambaye imani yake ni ndogo kwa muumba wake na mume wangu alikuwa mmoja wao kwani kanisa kwake ilikuwa mpk nimlazimishe sasa shetani kumteka ilikuwa rahis sana.
  13. D

    Nimechanganyikiwa wana mmu

    Asante kwa ushauri wenu nitafanyia kazi moja baada ya lingine,kiniumizacho mimi ni watoto wangu kukosa mapenzi na upendo wa baba yao ili hali nami bado nampenda, SABABU ya yote ni imani potofu aloingizwa na rafiki pamoja na mzazi wake.
  14. D

    Nimechanganyikiwa wana mmu

    Ni sawa ila je nitamsimamisha nani kumshitaki wakati yeye atakuwa hayupo kwani nimekuja kujua too late kwangu kuwa anaenda n'gambo yani mpk sasa amebakiza kama siku tatu kuondoka
Back
Top Bottom