Recent content by Dustman

  1. D

    Phonetic Alphabet

    Chale Papa Lima india Golf india november uniform Sierra ova.
  2. D

    Imefikia wapi Kesi ya yule tajiri aliyetaka kutekwa akajihami kwa risasi?

    Kesi ya uhaini,kwani wakati wa kulipua risasi Jiwe alikuwa jiran?Uhaini ni lazima tukio lihusishwe na mkuu wa nchi ambaye ndiye mwenye dola ova.
  3. D

    Saluti yamponza Afisa wa Magereza mbele ya Waziri Lugola

    Hata DC anapigiwa Saluti na ofisa mwenye cheo cha Inspector kurudi chini.
  4. D

    Saluti yamponza Afisa wa Magereza mbele ya Waziri Lugola

    Mheshimiwa Mheshimiwa ameng'ang'ania saluti.Saluti bila hiyo fimbo ya Ofisa inakamilika ila angepaswa tu kufanana na wenzake.Mavazi (uniform) za Maofisa hukamilika bila fimbo na ikiwa hana fimbo atasaluti kwa namna yake,akiwa na fimbo atasaluti kwa namna ya fimbo.
  5. D

    99.9 % ya waajiriwa serikalini wapo kujishikiza tu . Wamejiajiri sana mtaani na wengine wanatafuta mtaji wa kujiajiri

    Wengi wao huendesha miradi yao kwa hasara bila kujijua.Nimeona wengi wanapotoka ndani ya ajira rasmi miradi hupungua ama kuisha kabisa.
  6. D

    Nini maana yake?

    Wengine hutafsiri kuwa kuna biashara mbili yaani anatumika pia kinyume na maumbile.
  7. D

    Msaada tafadhari

    Mkuu kozi zote ni nzuri kulingana na malengo yako.Ukitafuta ushauri bila wewe mwenyewe kujipanga huenda ukaangukia chaka.Yangu ni hayo,endelea kufuatilia maoni ya wengine mkuu.
  8. D

    Wizara ya afya; Futeni gharama za kuchukua maiti mochwari katika hospitali za Serikali

    Mkuu upo sawa kabisa,mimi nafikiria tu kuhusu ule wakati wa utawala wa awamu ya kwanza ilikuwa matibabu ni bure kwa nchi nzima.Kwa sasa tumepata maendeleo zaidi lakini upande wa matibabu imekuwa ni gharama kubwa mno hadi kupelekea wengine kupoteza maisha kwa kushindwa kumudu gharama.Ikiwa...
  9. D

    Bado siamini kama wote walikufa

    Mwendo mkali unaua.Pikipiki ilikuwa katika mwendo mkali na gari ilikuwa kwenye mwendo mkali pia.Ukaguzi wa eneo la tukio pamoja na vyombo husika itasaidia kupata ukweli mzima.
  10. D

    NIMR watangaza nafasi ya kazi, muombaji kaishalipiwa visa ya US safari ya kikazi

    Hiyo ndio tabia ya ajira za sasa hapa nchini mkuu.Kutokana na uhaba wa ajira,hakuna boss yeyote ambaye hana mtu wake wa karibu aliyeathiriwa na tatizo hili.Inapotokea nafasi ni lazima aanzie kwakwe tu.
  11. D

    Kwanini tunamuomba Mungu ili aondoe matatizo aliyoyatengeneza mwenyewe?

    Mkuu tuna machaguo mawili ya kumfuata Mungu au Miungu.Ikiwa unaona kile alichokitengeneza Mungu ndicho kikwazo unapaswa ukiondoe kwa kutumia Miungu.Kwa kawaida si kila chenye madhara kinaathiri watu wote.Kuna ambao hufurahia hicho kinachokukwaza wewe.
  12. D

    Swali fikirishi: Ni sahihi Makonda kusherehekea birthday siku ya kuazimisha elimu duniani?

    Huyu mtu ana mapungufu makubwa.Birth day ni ya mwaliko wa kirafiki na si shughuli ya serikali,sasa mheshimiwa anaacha majukumu ya ofisi na kwenda kwenye sherehe ya rafiki!Hii ndiyo jamii yetu yenye Wakuu wa wilaya na mikoa wenye mambo ya jukwaa la sanaa zaidi.
  13. D

    Pombe za viroba katika mfumo mpya ... tafadhali Serikali chukueni hatua!!!

    Mkuu kwa ujumla wewe ni adui wa pombe na si vinginevyo.Viroba vilipigwa marufuku kutokana na aina ya vifungashio na si kuhusiana na bei yake.Kuhusu watu kulewa hiyo ndio kazi ya pombe na hata tukiwafuatilia sana ni bure tu.Hapa cha msingi ni kuongeza fursa za ajira na kuelimisha jamii kuliko...
  14. D

    Shule ya mafunzo ya mbwa

    Mkuu,wewe tafuta urafiki na askari Polisi wa kikosi cha Mbwa na Farasi,mwambie shida yako atakusaidia.Njia rahisi ya kuwapata ujenge mazoea ya kuhudhuria Police Mess hata ikiwa hunywi bia nunua hata maji tu.
Back
Top Bottom