Ushirombo
JF-Expert Member
- Jan 22, 2013
- 3,557
- 2,692
Wakuu kuna ile habari miezi mitatu hivi imepita,yule tajiri wa kati ya Musoma au Mwanza sikumbuki ila alitaka kutekwa alikua filling station,lakin akawawahi watu wasiojulikana akawalamba shaba,kukawa na kesi,je kesi yake iko vp?
Nawasilisha
Ni mimi
Ushirombo-Sr Jf member
Since Jan 2012
Nawasilisha
Ni mimi
Ushirombo-Sr Jf member
Since Jan 2012