wwe jidanganye tu leo kutakua na mafuriko jana watu wamekesha uwanja wa tangamano ulikua unaitwa mkesha wa lowasa na hatubebi watu watu wanakuja wenyewe na rushwa ya kuwapa watu pesa ili waje kwenye mkutano hakuna kwanza wew aupo tanga naona tanga kumekucha skukuu ye2 leo wap weeee
daah we jamaa nomaa sana cc ndo wenye tanga tena hao masisim 2na hasira nao vbaya mji wetu wameupoteza huu halaf tuipe kura ccm mwaka huu amna ktu tunaanza na nundu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.