Ni yupi kati ya hawa?

Ni yupi kati ya hawa?

Kwa wasio jua mwanamke ni mtu wa ajabu sana anaweza ku fall in love kunako sehemu asio tegemea. Yupi kati ya aina hii ya wanaume una penda sana kuaa nae au ungependa kukaa nae na ukawa happy.

1. Mpole
2. Mkimya
3. Mcheshi
4. Mjanja
5. Mwenye msimamo.
6. Mkali / mkorofi
7. Msafi
8. Muelewa
9. Anae jiamini
10. Mwenye heshima .

Sharti: chagua moja tu, au sifa moja tu.

Kumbuka sio wanaume wote wenye sifa hizo kuna wengine ni hopeless kabisa.
Yote sawa lkn kikubwa n uaminifu tu unaweza kumpata mpole lkn c muaminifu
 
1. Mpole
2. Mkimya
3. Mcheshi
4. Mjanja
5. Mwenye msimamo.
6. Mkali / mkorofi
7. Msafi
8. Muelewa
9. Anae jiamini
10. Mwenye heshima
11. Mwenye PESA za kutosha

Labda ingekuwa hivi then wengi wangeangukia namba 11. Maana akiwa mwenye heshima halafu akakosa vingine vyoote hainogi pia, au akawa anayejiamini halafu awe hana heshima wala si muelewa haileti maana. But akiwa mwenye MAVUMBA ataonekana ana hizo zingine zote...
 
Naona namba 11 imeongezwa hapo mimi ndio naitaka.
 
Kwa wasio jua mwanamke ni mtu wa ajabu sana anaweza ku fall in love kunako sehemu asio tegemea. Yupi kati ya aina hii ya wanaume una penda sana kuaa nae au ungependa kukaa nae na ukawa happy.

1. Mpole
2. Mkimya
3. Mcheshi
4. Mjanja
5. Mwenye msimamo.
6. Mkali / mkorofi
7. Msafi
8. Muelewa
9. Anae jiamini
10. Mwenye heshima .

Sharti: chagua moja tu, au sifa moja tu.

Kumbuka sio wanaume wote wenye sifa hizo kuna wengine ni hopeless kabisa.
Akiwa na zote ndo bomba.
 
Back
Top Bottom