Recent content by dunia jalala

  1. D

    LIVE UPDATES: Mkutano wa CCM Morogoro

    diamond....nouma...aisee....balaaa...katukusanya...hapa....buree....tunamuona....kwanin...tulipie...asanteni....magamba....kwa...fiesta....
  2. D

    TBC KAZI YA KUONESHA MIPIRA WAACHIENI STAR tv

    we...kweli..mropokaji..nani..kakudanganya...walijenga..bure..we..cjui..mtoto..minaishi..hapa.china...nawajua.vzr.wachina..na.uroho.wa..nawizi..we..unadhani.kaja..bure..hyo..umenichefua..unaongea.ktoto..sana.. mimi..sio.mchangiaji..wa.humu..ila.pumba..zako..zimenigusa..
  3. D

    Kuvamiwa Kibanda, Inawezekana kuna siasa chafu za kujenga chuki dhidi ya serikali/polisi

    maandamano yasiyo na vibali aliandaa nani we mbna unalopoka bila kujua unasema nini au ndio hao ma ccm yanakulipa pesa za epa nin
  4. D

    Clouds FM (Power Breakfast): Ni sahihi kabisa Bunge lisionyeshwe LIVE!

    redio ya wanafiki,waongo,wachochezi,waliojitoa u tanzania kwa ulafi wa pesa,watumwa,wapotoshaji,wafitini,matapeli,wezi,walanguzi,ndumila kuwili,nimechoka kusikia ujinga wa clouds namisukule yake mimi hata leo ukinipa bomu ukaniambia nikajilipue clouds nakubalii kabisaa cuz najua inavogharimu...
  5. D

    Bunge Lisirushe Matangazo yake 'LIVE' - Nape

    jamani nape nae anajua nini kuhusu tz yee anaendeshwa na hisia za ulafi wake kama mie ndio hata siumizagi akili yangu kumfutilia nape ahhgrrttmhgrrriiigraaaaam
  6. D

    Kwanini kuna muda wa kuisha matumizi kwenye vitambulisho vya Taifa?

    samahani ndugu naomba nitoe utata hapo mimi nimwanafunzi nasoma nchini china nimefanikiwa kuona vitambulisho vya uraia vya wachina kiukweli havina tarehe ya kuisha yanikukoma ila vinaonesha wewe ninani naunafanya kazi sehemu gani na nivizuri na imara nilipo viona hivyo vyetu kupitia picha...
  7. D

    Bungeni: Wanne watajwa kuwa 'watovu wa nidhamu'

    lakini si yupo hapo kwenye nyekundu.
  8. D

    Zitto: Serikali ya Kikwete imekosa uhalali wa kutawala!

    mkataba bora gani unafichwa wee kuwa na akili na uzalendo na ardhi ya nchii yakovwe unadhani watu kama akina zito wanafanya kazi za propaganda kama wee watu wamejitoa kuongea ukweli kuhusu tatizo la mtwara we unalete unazi na uzembe wa serekali ilio lala miaka hamsini.
  9. D

    Tanzania Daima ni gazeti la CHADEMA au la Mwana-CHADEMA?

    miaka hamsini hali ngumu viongozi wa ccm wanatajirika bado wanaendelea kukufanya kibe kibaraka wao unakuja na propaganda zako ulizolipwa vijisent usaliti ardhi yako na utu wako unamuacha anae kula mbegu unamlaumu mvuvi we kweli kibe kwani sie tume kwambia hatujui au mwanahalisi ni lababu yako.
  10. D

    Sijamwamini SLAA..

    nyie sio wakosoaji ndio mana hatuwapi nafasi nyie niwabomoaji kwani asie jua nyie akili zenu kama misikule mnalishwa pumba na ccm hata mabaya na uchafu wao toka miaka hamsini ya uhuru mpaka leo hamuyaoni nani cdm na nyie nani anawafanya viongozi wao miungu watu
  11. D

    Sijamwamini SLAA..

    jenga hoja mingoi mawaswala ya baba mwenye nyumba yamekuja wap kwani hii tarabu au mipasho tuliza ubongo sio unaleta nyimbo zako za kipwani cdm haiwezi sambaratishwa na propaganda za ccm na vibaraka wake kama nyinyi
  12. D

    Uwanja wa Nyamagana~ Mwanza CCM sasa wanafanya mkutano mkubwa sana wa kitaifa..

    wingu hiloo linapeperushwa na upepo halijielewi linatumikia kisicho na manufaa ya maisha yake wala kizazi chake kijacho hapo utumwa wa vijisent unasaliti taifa na ardhi yako wingu hlo limepoteza muelekeo duh kweli winguu jua lake mvua yakeee
  13. D

    Mtwara kimenuka: Mabomu ya machozi yarindima!

    tunakujaaa ccm tunataka mjue tunakuja hilo ni wingu2 na ngurumo za radi mvua ya mawe na mafuriko juu ya ukombozi wa mtanzania
  14. D

    Dr. Slaa alipua bomu, Mnyika awatolea uvivu Nape na Mwigulu

    dah minadhani hyoo jamaa utatoka moshii mavi mbna yanauzito kabisaaa au hyo kichwa chake ninazii kabisaa
  15. D

    Jerry Silaa: Tumeisambaratisha CUF sasa ni zamu ya CHADEMA

    ivii hicho kijerry sijui tom kinazani maendeleo ya tanzania nikama ushabiki wa mpiraa hahaha kweli kuna vijana wanaa akili za kizee jerry nikijana sura ila tunaomjua tunajua ni mzeee kiakili na kitabia na hajui lolote kuhusu ukombozi wala cdm au anazani kununua wanawake na kulala nao ndio...
Back
Top Bottom