Recent content by Dungamnyama

  1. D

    Star Tv ndani ya Azam Tv now

    Samahani nami nimeona Startv ila haionyeshi niliweka kifurushi cha 15000.
  2. D

    Christopher Alex anasumbuliwa na nini ?

    R.I.P Christopher Alex Maarufu kama Masai. Jamaa amefariki leo hii
  3. D

    Nahitaji mume

    Nitafute0712101570
  4. D

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Mimi nipo Idara ya,sekondari MNispaa ya Mtwara nahitaji kuja manispaa ya morogoro au Tanga piga 0719330433
  5. D

    Mkaka wa kuchati nae tu anatakiwa

    Chat nami 0719330433 karibu
  6. D

    Dr Bana apumzike kutoa maoni katika maswala ya kitaifa

    Huyo Dr. Ameshachoka akili ndio maana hua hana jipya zaidi ya kuonyesha hisia ma mihemko chanya kwa CCM na kusahau nafasi yake ya ushauri na utoaji wa maoni kama mmoja kati ya wataaluma waandamizi katika maswala ya siasa. Kweli Tanzani ina baadhi ya wasomi wafuata upepo
  7. D

    Yaliyojiri Bungeni Dodoma: Jumatano, January 28

    Ushauri wa bure kwa mama Makinda AJITAHIDI KUSOMA ALAMA ZA NYAKATI, PIA ATAMBUE BUNGE NDICHO CHOMBO PEKEE KINACHOTOA KAULI KWA NIABA YA WANANCHI.ALUKYA NA SABABU GANI KUGOMEA HOJA YA DHARULA ILIYOWASILISHWA KWAKE NA MH.MBATIA JUU YA POLISI KUWAPIGA WAFUASI WA CUF NA MWENYEKITI WAO BWANA PROF...
  8. D

    Vurugu bungeni zasababisha Bunge kuahirishwa asubuhi hii

    Kiukweli busara bado inaonekana kwa hawa wenzetu wa usalama wa raia muda mwingi hudhabi kutumia nguvu nyingi ndio suluhisho la matatizo kumbe wanaendelea kupandikiza chuki na visasi baina yao na raia wema
Back
Top Bottom