Huyo Dr. Ameshachoka akili ndio maana hua hana jipya zaidi ya kuonyesha hisia ma mihemko chanya kwa CCM na kusahau nafasi yake ya ushauri na utoaji wa maoni kama mmoja kati ya wataaluma waandamizi katika maswala ya siasa. Kweli Tanzani ina baadhi ya wasomi wafuata upepo
Ushauri wa bure kwa mama Makinda AJITAHIDI KUSOMA ALAMA ZA NYAKATI, PIA ATAMBUE BUNGE NDICHO CHOMBO PEKEE KINACHOTOA KAULI KWA NIABA YA WANANCHI.ALUKYA NA SABABU GANI KUGOMEA HOJA YA DHARULA ILIYOWASILISHWA KWAKE NA MH.MBATIA JUU YA POLISI KUWAPIGA WAFUASI WA CUF NA MWENYEKITI WAO BWANA PROF...
Kiukweli busara bado inaonekana kwa hawa wenzetu wa usalama wa raia muda mwingi hudhabi kutumia nguvu nyingi ndio suluhisho la matatizo kumbe wanaendelea kupandikiza chuki na visasi baina yao na raia wema
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.