Kweli penye miti hapana wajenzi, nimesomea degree tofauti na masuala ya IT lakini baada ya kumaliza chuo nikagundua fursa kwenye hizo nyanja za IT na nimeweza kutengeneza mpunga wa kutosha kwa kujiongeza na kujifunza vitu vidogo vidogo vya IT online ambavyo nimeweza kuvifanyia kazi na kupiga...
Hizi ndoto wakati mwingine zinamaanisha ni onyo kwamba unatakiwa kubadirika... kuna mienendo ya maisha unaishi unatakiwa kubadirika... usipo badirika kuna mambo yanaweza kukuta/kukutokea huko mbeleni,
Haya mambo yapo mkuuu usiombe yakukute... mkuu.. niliomba ajira kwa miaka 5 bila mafanikio kuna wakati unapiga intavyuu unahisi umetoboa kabisa ila wapiii, lakini nilikuja kufanikiwa ndani ya mwezi mmoja tuuu... nilishaomb ajira mpaka nika kata tamaa nikaamua kufanya shughuli nyingine kitaa...
Kabisa yani.. sijawahi kukutana na ke akanigomra bila ndomu wala kulazimisha nivae ndomu sijui kwanini aiseee ...sijui kwanini wanakosa maamuzi.. ndio maana kila manzi mi naashumu anangoma tu kmmmk
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.