Recent content by dumejm

  1. dumejm

    TAMISEMI mmeamua kunifilisi kwa kuninyima uhamisho!

    Ulivyoandika kirahisi, unaweza sena huo uhamisho kwenye ESS ni rahisi namna hiii
  2. dumejm

    Naomba mwenye link ya matokeo ya kachaguliwa kidato cha kwanza mwaka 2024 atume

    https://www.tamisemi.go.tz/announcement/uchaguzi-wa-wanafunzi-wa-kidato-cha-kwanza-2024
  3. dumejm

    Naomba mwenye link ya matokeo ya kachaguliwa kidato cha kwanza mwaka 2024 atume

    Haya hapa Form One Selection 2024 - Waliochaguliwa Kidato Cha Kwanza 2024 - Lokonewz.com - Welcome to LokoNewz
  4. dumejm

    CBG anaweza kusoma course za afya katika vyuo vya Private?

    Unapiga PHARMACY, NURSING, ENVIROMENTAL HEALTH,
  5. dumejm

    TCRA watajuaje kama natumia VPN?

    Naona ndio maana wanambania bwana X(elon musk) kuleta intaneti yake
  6. dumejm

    Miaka 8 bila kazi, tangu nimalize chuo kikuu

    Kweli penye miti hapana wajenzi, nimesomea degree tofauti na masuala ya IT lakini baada ya kumaliza chuo nikagundua fursa kwenye hizo nyanja za IT na nimeweza kutengeneza mpunga wa kutosha kwa kujiongeza na kujifunza vitu vidogo vidogo vya IT online ambavyo nimeweza kuvifanyia kazi na kupiga...
  7. dumejm

    Msaada wa ndoto hii inayonisumbua kila siku

    Hizi ndoto wakati mwingine zinamaanisha ni onyo kwamba unatakiwa kubadirika... kuna mienendo ya maisha unaishi unatakiwa kubadirika... usipo badirika kuna mambo yanaweza kukuta/kukutokea huko mbeleni,
  8. dumejm

    Natafuta mtaalam wa kunisaidia kupata ajira na kuniondolea gundu

    Haya mambo yapo mkuuu usiombe yakukute... mkuu.. niliomba ajira kwa miaka 5 bila mafanikio kuna wakati unapiga intavyuu unahisi umetoboa kabisa ila wapiii, lakini nilikuja kufanikiwa ndani ya mwezi mmoja tuuu... nilishaomb ajira mpaka nika kata tamaa nikaamua kufanya shughuli nyingine kitaa...
  9. dumejm

    MAKATO YA BENKI

    Tozo za benki ni tatizo kubwa sana
  10. dumejm

    Samsung Galaxy S22 ultra, ubunifu umefika mwisho

    Subiri bro, anakuja TESLA PHONE
  11. dumejm

    Jinsi mapenzi ya mtoto wa Kizulu Durban South Africa yalivyotaka kunitoa roho

    Sasa hapo kwenye hilo neno kula kimasihara mods wangetuekea linki ya ule uzi wetu pendwa kama refference
  12. dumejm

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Kabisa yani.. sijawahi kukutana na ke akanigomra bila ndomu wala kulazimisha nivae ndomu sijui kwanini aiseee ...sijui kwanini wanakosa maamuzi.. ndio maana kila manzi mi naashumu anangoma tu kmmmk
  13. dumejm

    Tujuzane kuhusu AC je ni kweli zinanyonya umeme hadi unit 35 kwa siku?

    Kwahyo kifaa cha watts 1000 kikiwaka kwa muda gan ndio kinakula 1 unit??
Back
Top Bottom