Msaada wa ndoto hii inayonisumbua kila siku

Inaweza kuwa upo nyuma kiimani kama jamaa alivyosema hapo awali, lakini pia inaweza kuwa umechelewa kimaisha. Huenda unawaona watu uliosoma nao shule ya msingi, sekondari; wao wapo mbele kimaendeleo zaidi yako. Akili imeumbwa kuchakata taarifa za mambo uliyoyaona kwa macho na hatimaye hukupa mrejesho kwa njia ya ndoto!
 
Kuna kitu bado kinakukabiri kipo ndani yako. Hujakimaliza, mpaka ukimalize ndo maisha yako yatakuwa sawa. Check kama uliahidi kuoa, umepiga mimba, nk
 
Inaweza kuwa upo nyuma kiimani kama jamaa alivyosema hapo awali, lakini pia inaweza kuwa umechelewa kimaisha. Huenda unawaona watu uliosoma nao shule ya msingi, sekondari; wao wapo mbele kimaendeleo zaidi yako. Akili imeumbwa kuchakata taarifa za mambo uliyoyaona kwa macho na hatimaye hukupa mrejesho kwa njia ya ndoto!
Pengine kuwa nyuma kiimani ndo inaweza kuwa tatizo maana kiukweli nimekuwa na harakati zinazonipishanisha na mda wa ibaada bahati mbaya sana kwangu hii...
 
Habari ndugu jamaa na Marafiki,

Mimi ni kijana wa miaka 29. Nimehitimu elimu ya chuo tangu mwaka 2019, lakini nimekuwa na hari ya kutokewa na ndoto ya aina moja mara kwa mara, wakati mwingine inatokea usiku mara mbili mpaka mara tatu.

Ndoto yenyewe ni kuota niko chuoni bado nasoma na mara nyingi naota nikiwa najiandaaa kwenda kwenye chumba cha mtihani , na kibaya zaidi ninakuwa sijasoma kabra ya mtihani , sasa hofu yake inakuwa ni kubwa sana.

Wakati mwingine ninakuwa katika chumba cha mtihan lakni kinachonishangaza ni kwamba huo mtihani huwa sianzi kuufanya huwa tu kwenye mazingira ya mtihan ila kuunza kufanya ndo hamna nastuka natetemeka sjasoma.

Kama kuna mtaalamu wa kiroho au mjuzi wa kutafsiri ndoto naomba anipe mwanga kidogo maana hii ndoto inanitesa sana.

Naomba kusasilisha
Ndoto kama hizi mbona zinatokea watu wengi sana, kuna thread huku JF watu wanatoa experience yao kuhusu ndoto wakiwa shuleni
 
Zinaumiza hasa ukisikia habari za kuwa kuna mtu anakurudisha nyuma ndo unazidi kuchanganyikiwa.


Kuna huyo naye
 


Kuna huyo naye
Nashuka naye hapa naona anaelezea ..kwa undan kidogo
 
Nashuka naye hapa naona anaelezea ..kwa undan kidogo
Kuna huyu tena,


 
Tafuta kitabu kinachohusu NDOTO Cha Christopher Mwakasege kitakusaidia.

Au ingia utube Sikiza watumishi walioongelea kuhusu ndoto ya kuota unafanya mtihani.

Kifupi ni kuwa, KIMWILI umemaliza mitihani bt kiroho Bado unafanya mitihani, na ukifaulu tu mitihani kiroho, utapata KAZI na maisha kufunguka.

Mtu halisi yupo kwenye ndoto hivyo dumu sana kwenye maombi Ili ujikwamue hapo uliposhikiliwa.


Afadhali na wewe unaota unafanya mitihani ya chuo, Kuna mwingine alikuwa amemaliza degree but alikuwa anaota amevaa kaptula akienda shule alosomea zamani ya msingi.

Na ukipuuza ndo imekula.

Ubarikiwe.
Du. Wachungaji wa siku hizi hawana tofauti na waganga wa kienyeji. Mkristo unaishi kwenye hofu ya ndoto?
 
Habari ndugu jamaa na Marafiki,

Mimi ni kijana wa miaka 29. Nimehitimu elimu ya chuo tangu mwaka 2019, lakini nimekuwa na hari ya kutokewa na ndoto ya aina moja mara kwa mara, wakati mwingine inatokea usiku mara mbili mpaka mara tatu.

Ndoto yenyewe ni kuota niko chuoni bado nasoma na mara nyingi naota nikiwa najiandaaa kwenda kwenye chumba cha mtihani , na kibaya zaidi ninakuwa sijasoma kabra ya mtihani , sasa hofu yake inakuwa ni kubwa sana.

Wakati mwingine ninakuwa katika chumba cha mtihan lakni kinachonishangaza ni kwamba huo mtihani huwa sianzi kuufanya huwa tu kwenye mazingira ya mtihan ila kuunza kufanya ndo hamna nastuka natetemeka sjasoma.

Kama kuna mtaalamu wa kiroho au mjuzi wa kutafsiri ndoto naomba anipe mwanga kidogo maana hii ndoto inanitesa sana.

Naomba kusasilisha
Hizi ndoto wakati mwingine zinamaanisha ni onyo kwamba unatakiwa kubadirika... kuna mienendo ya maisha unaishi unatakiwa kubadirika... usipo badirika kuna mambo yanaweza kukuta/kukutokea huko mbeleni,
 
Ahsante sana kwa somo hili hakika nalichukua kwa mikono miwili na nitalifanyia kazi nitafute watu wa kufanya kisomo nadhan nitakuwa sawa boss.
Kama imani yako ipo kwenye kisomo basi fanya na uangalie matokeo ikishindikana fanya mengine pia.
 
Habari ndugu jamaa na Marafiki,

Mimi ni kijana wa miaka 29. Nimehitimu elimu ya chuo tangu mwaka 2019, lakini nimekuwa na hari ya kutokewa na ndoto ya aina moja mara kwa mara, wakati mwingine inatokea usiku mara mbili mpaka mara tatu.

Ndoto yenyewe ni kuota niko chuoni bado nasoma na mara nyingi naota nikiwa najiandaaa kwenda kwenye chumba cha mtihani , na kibaya zaidi ninakuwa sijasoma kabra ya mtihani , sasa hofu yake inakuwa ni kubwa sana.

Wakati mwingine ninakuwa katika chumba cha mtihan lakni kinachonishangaza ni kwamba huo mtihani huwa sianzi kuufanya huwa tu kwenye mazingira ya mtihan ila kuunza kufanya ndo hamna nastuka natetemeka sjasoma.

Kama kuna mtaalamu wa kiroho au mjuzi wa kutafsiri ndoto naomba anipe mwanga kidogo maana hii ndoto inanitesa sana.

Naomba kusasilisha
Hii ndoto huwa naiota tangu nipo chuo... Mpaka leo yapata muongo mmoja napokuwa nakaribia matatzo basi ndoto hii huja......
 
Hizi ndoto wakati mwingine zinamaanisha ni onyo kwamba unatakiwa kubadirika... kuna mienendo ya maisha unaishi unatakiwa kubadirika... usipo badirika kuna mambo yanaweza kukuta/kukutokea huko mbeleni,
Dah unakuta unaishi maisha yasiyo ya anasa lkn bdo unakutana nayo
 
Ndoto ya kawaida tu mkuu usiogope endelea na maisha yako, wanaokwambia sijui umerogwa ni wana imani potofu tu...! Na we ukiiingia kwenye huo mtego itakula kwako, ndoto ya aina hiyo inaotwa na watu wengi sana duniani kote, kwa hiyo watu wote hao wanakua wamerogwa???
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom