Asante mkuu..Ndicho nilichokuwa nashangaa na mimi pia.Hiki anachoongelea mtoa mada ni cha nadharia tu na siyo uhalisia.
Mtaani hata kukopesheka hiyo Mil.100 ni kipengele.Kati ya wabongo 1,000 ni mmoja au wawili wana dhamana na biashara/cashflow ya kuweza kukopa Mil.100..
Haya ni mawazo nadharia yaani theoretical..
1. Hizo Mil 100 za kuweka UTT anapata wapi ??
2. Fine, umesema anakopa hizi Mil.100..Je, anapata wapi dhamana ya kukopa Mil.100??
3. Sawa, Akikopa Mil.100, anakuwa na jukumu la kurejesha riba around 15 ~ 18% kwa mwaka.Let's say ni 15%, hapo anakuwa...
Hakika nakuambia ukiwapa waTz 10 hata wenye hiyo elimu ya fedha Mil.60 baada ya miaka 4 ukija kuwathaminisha ni 1 au wawili ndio watakuwa na angalau 10Mil kwenye akaunti zao.
Hizi biashara tuheshimu pia, siyo rahisi kihivyo..kila siku watu wanateketeza mitaji.Mmeshasahau ya Kkoo na TRA ...
Iyovi...Hata mimi nilijua hivyo ila nakumbuka January 07 2021..Dereva dei waka wa basi 'pendwa' aliikata Iyovi spidi 90 ~ 110Km/h,sikuamini mpaka nilivyoiona mikumi hii hapa..
Barabara hizi ni uzoefu..wewe na mimi tu apita mara 2 mpk 4 kwa mwaka ila kuna wababe wanapita kila siku 2 wanajua...
Msisitizo na hamasa ya Elimu kuhusu huu ugonjwa wa UKIMWI kwa kweli umeshuka mno..ni kama haipo kabisa.Nikikumbuka miaka ya mwanzoni mwa 2000 kampeni zilikuwa kila sehemu (ishi,Jilinde n.k,Taasisi za Angaza,Semina mbalimbali hata na nyimbo (Starehe - Ferouz,Usione soo n.k)
Mkuu...Kwa kutokuwa na kumbukumbu ya vitu vingi hivi vya muhimu katika ijenzi..unawezaje kukumbuka jumla ya gharama ??
Naomba niwe wa mwisho kuamini hili..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.