unajua dadaangu sometimes vigezo vingi vinaweza kusababisha kumkosa mwenye mapenzi ya dhati,,,,,,,,,,! kwani Mungu anaweza kukupatia WA dini tofauti ila akawa na mapenzi ya kweli, ila kwa kuwa wewe unamtaka mkristo ikawa shida tena!
Nina imani utampata Huyo unaemtaka, ila fahamu kuwa mapenzi hayachagui rangi, kabila, dini, n.k. Mungu akutangulie ktk safari yako ya kumpata Huyo......!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.