Jux ndio muanzilishi wa kampeni ya 'Unfollow Davido' kule instagram. Jana SAA NNE usiku ndio alipost kampeni hiyo ikiwa ni dakika 20 tangu Davido a post ile sentensi. Watu wakaanzia pale na hatimaye hali ipo kama ilivyo.
Sasa ukimu-unfollow davido unapata faida gani..? Au unahisi unamkomesha...
Vita iliyoanza Jana saa 3 usiku baada ya idris sultan wa Tanzania kuchukua ushindi kule kwa madiba hali iliyopelekea Davido kupost post ya utata kule 'twita' iliyotafsiriwa kama kejeli kwa Watanzania. Davido alipost sentensi 'N they cheat again lol', post hiyo ilipelekea Diamond kureact kujibu...
Tumia akili ya kawaida na wewe ndugu yangu. Hivi kwa mile kibano walichopata serikali kwa ule mjadala bungeni..kama kuna mpinzani angekuwepo unahisi wasingetaja ili kupunguza kasi ya kibano? Wao wana orodha yote ya wakwapuaji ndo maana hadi kesho hutaisikia orodha. Tumia common sense na wewe bhana..
Binadamu mwenzako Leo unamnyooshea kidole na kumwita shetani? Kwa usafi gani ulionao? Kama ni kuzini we huzini? Husemi uongo? Mjinga kweli wewe..soma vitabu vya dini na ukome kuhukumu kwa makosa ambayo na wewe unayafanya pia..au kwa kuwa we we hatukuoni?
Mleta mada huo ndo upuuzi tu uliouona na ukakuumiza.? mengine yanayotuletea umasikini na kutufanya tuishi bila madawa na madawati huyaoni eti? We kweli shwaini...
Serikali inajua sana kucheza na akili zetu watanga na nyika..naluapia Leo hakuna atakayejiuzulu zaid ya kukanusha na kubaki kwenye nafasi zao na kula bata
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.