Mbowe awaacha kwenye mataa watu wake Vingunguti

Mbowe awaacha kwenye mataa watu wake Vingunguti

SAVERA

Senior Member
Joined
Jun 25, 2013
Posts
114
Reaction score
43
Leo kulikuwa na ujio wa Mwenyekiti wa CDM Taifa Mbowe Vingunguti na Buguruni,wiki hii nzima jamaa wanatupigia kelele za matangazo ya kuja Mbowe.
Leo jamaa wamefunga mziki uwanjani wameweka jukwaa wamekodi matarumbeta na ngoma. Wamejaa Tabata na mapikipiki na magari ya mabendera kibao,na wengine wamejaa Buguruni shell. Kufika saa nane wakaambiwa Mbowe haji tena. Ni aibu ya mwaka jamaa wamenywea hawana la kuwaambia watu waliojaa.
 
tusaidie mawazo mkuu tufanyeje humu janvini?
 
Atawambia nini, CHADEMA agenda yao kubwa ni kuing'oa CCM madarakani jambo ambalo halina mashiko kwa mwananchi wa kawaida
 
Atawambia nini, CHADEMA agenda yao kubwa ni kuing'oa CCM madarakani jambo ambalo halina mashiko kwa mwananchi wa kawaida

Hakuna gari yoyote yamatangazo iliyopita ikasema Mh. Mbowe atakuwepo kwenye Mkutano
 
Kichwa cha mbowe hakina kitu watu wa dar wanaupeo wa mambo aliogopa kupata aibu sijui angewaambia kitu gani wakati kichwa chake ndiyo vile mwenzangu na mie.
 
Kichwa cha mbowe hakina kitu watu wa dar wanaupeo wa mambo aliogopa kupata aibu sijui angewaambia kitu gani wakati kichwa chake ndiyo vile mwenzangu na mie.

Vichwa vinywe akili ni hivyo hapo Lumumba vinavyo fisadi hela ya Umma kila mwaka
 
Kichwa cha mbowe hakina kitu watu wa dar wanaupeo wa mambo aliogopa kupata aibu sijui angewaambia kitu gani wakati kichwa chake ndiyo vile mwenzangu na mie.
Unaambiwa watu wamejaa kumsubiri kamanda wao .
 

Attachments

  • attachment-8.jpeg
    attachment-8.jpeg
    9.3 KB · Views: 1,384

Similar Discussions

Back
Top Bottom