Kama uchumi wa nchi upo juu na wa watu upo chini kuna faida gani[emoji2210][emoji2210][emoji2210]maana ukilinganisha kwetu na kwenu slum dwellers kwenu wapo wng sana kuliko kwetu
Watanzania wenzagu tuache kulalamika na kusema viongozi wetu. Maana hapa hapa nchini tunaona majirani ndugu na rafiki zetu wakiendelea na kutajirika huku wengine tukibaki tunalalamika.
Cha muhimu kila mtu atumie vizuri hizi fursa zilizopo nchini kwa sasa, kujiendeleza na kama huzijui fursa hizo...
Madikteta ni watu ambao huwa wanataka maendeleo haraka wanakuwa wamechoka kuona watu hawatumii resources vizuri......wng huwa wanawazia mema mataifa yao mfano mzuri hitler
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.