Vision ya Rais Dkt. Magufuli ni kuipeleka Tanzania mbele kupitia njia waliyopita Singapore

Tatizo ulivo mpumbavu,wewe ndio unaetaka tuende katika uelekeo huo. Alafu unataka kutuaminisha JPM ndo ana vision hiyo, kwa kuuwa biashara kwa hizi kodi zao unazotakiwa kulipa kutoka kwenye mtaji na sio faida?
What is a provisional tax return?
Provisional tax is not a separate tax from income tax. It is a method of paying the income tax liability in advance, to ensure that the taxpayer does not remain with a large tax debt on assessment. ... A third payment is optional after the end of the tax year, but before the issuing of the assessment by SARS.Jul 9, 2020
 
Waliwekeza kwenye vyuo vya ufundi ninyi mnawekeza kwenye elimu bure bila walimu afu mnadhani mtakuwa kama singapore kwa akili hizi mtafeli daima
 
Tuwe wakweli ndoto ya kuwa kama Singapore ni nzuri lakini haiko realistic, ni ndiyo ya mwendawazimu. Ndoto ya ukweli ingekuwa tunasema "Tunataka tuipite Kenya kiuchumi. Hiyo ndiyo saizi yetu.
Bajeti ya Kenya ya mwaka 2020/21 kwa Tsh ni 64 Trilion wakati Tanzania ni Tsh 31 Trillion. Kwa hiyo hatufiki hata 50% ya uchumi wa Kenya. Bajeti ya nchi zote 5 yaani Uganda, Tanzania, Burundi, South Sudan na Rwanda ni Tsh 63.5 Trilion kwa maana kuwa Kenya ni kubwa kuliko nchi zingine zote za East Africa.

Haya mapicha picha ya SGR, Barabara na flyover yanayorushwa kwenye TV na magazeti ya Tanzania kumsifia Magufuli ni USHAMBA tu. Muulize mtu yeyote aliyetembelea Kenya ndani ya miaka 3 hii akuamambie ma flyover na barabara za hadhi ya juu zilizojengwa.

Na hutosikia Uhuru Kenyatta akihangaika kukusaidia au Kusifiwa[


/QUOTE]Upimaji wa uchumi umebadilika kutoka GNP au GDP na kwenda kwa PPP.

PPP ndio kipimo sawa sawa kwa sababu kina pima pesa uliyo kuwa nayo inaweza kununua kiasi gani cha bidhaa au huduma ( products or services).
Kwa kipimo hicho bajeti yao Kenya ni kama 70 Tanzania / 100 Kenya. Yaani wanatuzidi kwa kama asili mia 30.

Kwa kipimo cha Utajiri wa serikali sisi serikali yetu ni Tajiri ( uwezo wa kutumia pesa kibajeti )kwa kuwa hatuna madeni makubwa sana kama wao.
Wao wanatumia kiwango kikubwa cha makusanyo kulipa madeni.

Madeni hayo yanatofautiana kidogo sana na makusanyo yao ya kodi.
 
Huwa ni kwa vile watu ni wagumu sana kuelewa. Vision ya Rais Dkt. Magufuli ni kuipeleka Tanzania mbele kupitia njia waliyopita Singapore. Singapore walikuwa masikini mara 3 ya Tanzania ya leo. Miaka ya mwanzo ya 70 walikuwa na GDP per capita $320. Sisi leo GDP per capita ni $930. Leo Singapore wana zaidi ya $60,000.

Kama Rais Dkt. Magufuli anavyofanya, walianza na elimu ya bure na kuwekeza sana kwenye vyuo vya ufundi. Wakahakikisha wanapata wataalan wa kutosha. Waliekeza sana kwenye miundombinu ya umeme, mabarabara, bandari, viwanja vya ndege, technologia ya mawasiliano etc, walichochea sekta kama za utalii na huduma nyingine. Waliekeza sana kwenye afya hadi kuvutia medical tourism. Walipambana na rushwa na kutoa adhabu kali sana hasa death penalty kwa wahujumu uchumi.

Wali sacrifice bla bla za kisiasa na ku focus kwenye maendeleo. Mwandishi mmoja anasema:-

"Singapore's model of sacrificing freedom for business is highly controversial and heavily debated. Regardless of philosophy, though, its effectiveness is undeniable."

Lakini kikubwa ambacho Rais Dkt. Magufuli amekipania sana kipindi hiki ni kujenga mazingira mazuri ya kuvutia mitaji ya ndani na nje. Inabidi kupitia upya tena kwa kuchukua mfano wa Singapore sera za kodi, sheria na sera za kazi, sera za ardhi, sera za fedha, sheria za utatuzi wa migogoro, sera za biashara kwa ujumla nk.

Tukifanikiwa hapo Tanzania ni 'a new Singapore in the making.'

Tumuunge mkono JPM na wale ambao wamepewa majukumu ya kumshauri na kumsaidia wajaribu kujielimisha sana na kuweka pembeni maslahi binafsi.
Upumbavu mtupu.
 
Nikufundishe kidogo mkuu. Singapore imefika ilipo kutokana na wawekezaji kutoka nje. Jitahidi kusoma na kufanya research!
tarted
Open in app

Responses​


To respond to this story,
get the free Medium app.​

Open in app

There are currently no responses for this story.​

Be the first to respond.​

You have 2free member-only stories left this month.
Sign up for Medium and get an extra one



How did Singapore become rich?​

Hailey

Hailey​


Mar 9·4 min read​




Image for post

Image for post

There are several criteria to meet for young nations to catch up in development in a short time.
Already present assets-First off, Singapore did not start from scratch with nothing. It was a former colony of the British Empire. Our independence from the British was carefully planned and negotiated rather than forced. This was to ensure that even after the British had withdrawn, the relationship was at least friendly enough for businesses already set up here to continue to exist so that we do not downgrade back to an agricultural nation.
The only sea route to China-Why was the British interested in having Singapore as a crown colony in South East Asia to begin with? Back before mechanical ships and aircraft became available, there was only one way to reach China safely other than the famed Silkroad. Though even the Silkroad can be unreliable, caravans fell prey to bandits and camels could not transport anything fragile. There was interestingly all but one sea route to China given wind directions along the way from Europe to the South China Sea and it just had to pass through Singapore for some reason.
Image for post

Image for post

(In case you are wondering where Singapore is, it is called Malacca in the map)
The four dragons of Asia-There is this interesting economic theory about how smaller nations can adapt faster to changing economies. Indeed, the four places in Asia to industrialize rapidly following the footsteps of Japan were Singapore, Hong Kong, South Korea and Taiwan. It was so dramatic that we gave this nickname of the Four Dragons of Asia to them. Throughout my twenty years of stay in Singapore, the government was relentless at demolishing outdated businesses and replacing them with more profitable ones. The company that employed my dad spent only half year to lay off every worker before the factory itself vanished.
Mentality-Many scholars have pointed out that Singapore is not the only country with the above characters. In fact, many countries lie along the British-China trade route. Indeed, the following point is something that is not usually taught in textbooks, much less online media for fear of offending other groups, but I am going to leave it here. The reason is, that Singaporeans had the mentality to strive to be rich to begin with. Most of Singaporeans are actually descendants of South China who risked their lives migrating all the way down South just to seek better lives. It is offensive but correct to say that Singaporeans were much more willing to sacrifice to make the economy work compared to other nations with the same potential.
Take for example China, when premier Deng Xiaoping visited Singapore, our first Prime Minister Lee Kuan Yew actually openly criticized him something along the line of ‘We Singaporeans rose up from the farmers and fishermen class of China to what we have today. Why can’t you raise up China with your billion population?’ Deng was not offended and actually took advice from this.
Image for post

Image for post

Political neutrality-Why was Deng visiting Singapore for economic advice in the first place? Singapore was not only trying to be rich, but also trying to establish herself as some sort of neutral platform for international events to take place. We forgave the Japanese just five years after they invaded us, making us one of the first to receive investment from an already rich nation post WWII. Even when Deng visited, Singapore was actually fighting a political war against communist influence in South East Asia. Our political neutrality goal is honestly quite successful, in fact Donald Trump and Kim Jong Un met here for the first time just days ago!
In conclusion, I would say that a lot the factors contributing to Singapore’s success have been unique to Singapore. The fact that we dare to think differently from most other civilizations also meant a great deal
 
Maendeleo Tanzania yanahitaji maeneo kadhaa muhimu kuendelezwa kwa kiwango cha juu sana.
Kipaumbele kiwe kwenye sekta chache tu muhimu na hiyo ndio iwe phase1 ya kusonga mbele.
1.Barabara madhubuti kabisa kuunganisha nchi hii kutoka na kuingia kila kata,kijiji,wilaya na mikoa.Simple like that.Borrow and construct roads or Tax and construct roads heavily.
2.Maji.The same applies to roads kwa kila mahali.Borrow or Tax and construct water infrastructure heavily.
3.Umeme.Hivyo hivyo kama sekta ya barabara na maji.Umeme uwepo wa kutosha sio umeme unawaka kama indicator au disco lights.Umeme upatikane sehemu kubwa ya nchi tena kwa bei nafuu.Kopa na Toza kodi kugharamia ujenzi wa miundombinu ya umeme.
4.Elimu.Nguvu kubwa iwe kwenye msingi wa elimu kwa maana ya elimu ya Lazima au elimu ya msingi.Serikali iwekeze kwenye elimu ya msingi na isiwe bure ila pia isiwe ghali sana,iwe ya kiwango ambacho hata mama ntilie anaweza kumudu kulipia watoto wasome shule.Hizo elimu za juu sekta binafsi zita play part na sera ndio muongozo.
Kwa msingi wa haya maeneo manne tu kwa hakika nchi itapiga maendeleo sana kwa sababu sekta zingine zote lazima zitanyanyuka kwa kuwekewa sera nzuri tu,kuanzia sekta ya kilimo,afya,elimu ya sekondari na elimu ya juu,madini,misitu na maliasili,utalii n.k
Hakuna sababu ya kwenda na kila sekta kwa wakati mmoja ikiwa wakati huo rasilimali na muda havitoi nafasi hiyo.Tutafakari zaidi kwa maeneo hayo wananchi wa nchi hii wanahitaji sana mambo hayo kuliko kitu chochote kile kwa kuwa mambo hayo ndio msingi wa shughuli zingine zote za kijamii na kiuchumi zilizobaki.
 
Huwa ni kwa vile watu ni wagumu sana kuelewa. Vision ya Rais Dkt. Magufuli ni kuipeleka Tanzania mbele kupitia njia waliyopita Singapore. Singapore walikuwa masikini mara 3 ya Tanzania ya leo. Miaka ya mwanzo ya 70 walikuwa na GDP per capita $320. Sisi leo GDP per capita ni $930. Leo Singapore wana zaidi ya $60,000.

Kama Rais Dkt. Magufuli anavyofanya, walianza na elimu ya bure na kuwekeza sana kwenye vyuo vya ufundi. Wakahakikisha wanapata wataalan wa kutosha. Waliekeza sana kwenye miundombinu ya umeme, mabarabara, bandari, viwanja vya ndege, technologia ya mawasiliano etc, walichochea sekta kama za utalii na huduma nyingine. Waliekeza sana kwenye afya hadi kuvutia medical tourism. Walipambana na rushwa na kutoa adhabu kali sana hasa death penalty kwa wahujumu uchumi.

Wali sacrifice bla bla za kisiasa na ku focus kwenye maendeleo. Mwandishi mmoja anasema:-

"Singapore's model of sacrificing freedom for business is highly controversial and heavily debated. Regardless of philosophy, though, its effectiveness is undeniable."

Lakini kikubwa ambacho Rais Dkt. Magufuli amekipania sana kipindi hiki ni kujenga mazingira mazuri ya kuvutia mitaji ya ndani na nje. Inabidi kupitia upya tena kwa kuchukua mfano wa Singapore sera za kodi, sheria na sera za kazi, sera za ardhi, sera za fedha, sheria za utatuzi wa migogoro, sera za biashara kwa ujumla nk.

Tukifanikiwa hapo Tanzania ni 'a new Singapore in the making.'

Tumuunge mkono JPM na wale ambao wamepewa majukumu ya kumshauri na kumsaidia wajaribu kujielimisha sana na kuweka pembeni maslahi binafsi.

Bahati mbaya Singapore haikuwa na Jiwe aliyekuwa akilazimisha ushindi kwa kulitumia jeshi na kuiba kura kwa kuweka kura feki kwenye mabegi wala hawakukodisha majeshi kutoka Burundi
 
Tatizo ulivo mpumbavu,wewe ndio unaetaka tuende katika uelekeo huo. Alafu unataka kutuaminisha JPM ndo ana vision hiyo, kwa kuuwa biashara kwa hizi kodi zao unazotakiwa kulipa kutoka kwenye mtaji na sio faida?
Nchi gani unafanyanya biashara bila kulipa kodi?
 
Watanzania wenzagu tuache kulalamika na kusema viongozi wetu. Maana hapa hapa nchini tunaona majirani ndugu na rafiki zetu wakiendelea na kutajirika huku wengine tukibaki tunalalamika.
Cha muhimu kila mtu atumie vizuri hizi fursa zilizopo nchini kwa sasa, kujiendeleza na kama huzijui fursa hizo kafanye research au anzisha mada ya kuzijua fursa hizo
 
Watanzania wenzagu tuache kulalamika na kusema viongozi wetu. Maana hapa hapa nchini tunaona majirani ndugu na rafiki zetu wakiendelea na kutajirika huku wengine tukibaki tunalalamika.
Cha muhimu kila mtu atumie vizuri hizi fursa zilizopo nchini kwa sasa, kujiendeleza na kama huzijui fursa hizo kafanye research au anzisha mada ya kuzijua fursa hizo
Wacha kuropoka kama hujawahi kufanya biashara. Ni fursa zipi utakazoanzisha na usifuatwe na mamlaka za TRA, NEMC, ZIMAMOTO, AFYA, TAKUKURU etc.
 
Huwa ni kwa vile watu ni wagumu sana kuelewa. Vision ya Rais Dkt. Magufuli ni kuipeleka Tanzania mbele kupitia njia waliyopita Singapore. Singapore walikuwa masikini mara 3 ya Tanzania ya leo. Miaka ya mwanzo ya 70 walikuwa na GDP per capita $320. Sisi leo GDP per capita ni $930. Leo Singapore wana zaidi ya $60,000.

Kama Rais Dkt. Magufuli anavyofanya, walianza na elimu ya bure na kuwekeza sana kwenye vyuo vya ufundi. Wakahakikisha wanapata wataalan wa kutosha. Waliekeza sana kwenye miundombinu ya umeme, mabarabara, bandari, viwanja vya ndege, technologia ya mawasiliano etc, walichochea sekta kama za utalii na huduma nyingine. Waliekeza sana kwenye afya hadi kuvutia medical tourism. Walipambana na rushwa na kutoa adhabu kali sana hasa death penalty kwa wahujumu uchumi.

Wali sacrifice bla bla za kisiasa na ku focus kwenye maendeleo. Mwandishi mmoja anasema:-

"Singapore's model of sacrificing freedom for business is highly controversial and heavily debated. Regardless of philosophy, though, its effectiveness is undeniable."

Lakini kikubwa ambacho Rais Dkt. Magufuli amekipania sana kipindi hiki ni kujenga mazingira mazuri ya kuvutia mitaji ya ndani na nje. Inabidi kupitia upya tena kwa kuchukua mfano wa Singapore sera za kodi, sheria na sera za kazi, sera za ardhi, sera za fedha, sheria za utatuzi wa migogoro, sera za biashara kwa ujumla nk.

Tukifanikiwa hapo Tanzania ni 'a new Singapore in the making.'

Tumuunge mkono JPM na wale ambao wamepewa majukumu ya kumshauri na kumsaidia wajaribu kujielimisha sana na kuweka pembeni maslahi binafsi.
Vipi mmeshafika Singapore?
 
Vipi mmeshafika Singapore?
Thubutu yao. Ni rahisi kutamka Singapore lakini siyo rahisi kufanya Kama Singapore. Wawekezaji waliheshimiwa Singapore wakati sisi Mwendazake alikuwa anawaona kama wezi
 
Kwamba kipindi chake matajiri wanaweza kufanywa chochote. Labda Nchi ingekuwa tajiri kwa kuwa na masikini wengi. Vipi Singapore nao walikuwa na masikini kiasi Gani?
 
Back
Top Bottom