Recent content by Drimatomps

  1. D

    DOKEZO Maafisa wa TRA, TAA, Airport Cargo jijini Dar na rushwa ndogondogo

    🤣🤣🤣🤣🤣Dah nyie watu mnachekesha sana muda mwingine bora mnyamaze tu
  2. D

    Prof. Janabi: Kujifungua Mtoto 'Bonge' si nzuri Kiafya

    🤣Acha kubishana na wataalamu madam mwili unatakiwa kubalance vitu unapozidisha au kupunguza kunakuwa na hatari ya kudhurika...
  3. D

    LATRA yatangaza ongezeko la nauli za Safari za Masafa Marefu na Mafupi kuanzia Desemba 8, 2023

    Tzs inazidi kupukutika inapoteza mvuto kabisa aisee......nauli ya daladala kam cha chini mia sita ....... wacha tuendelee kuchekwa na wakenya hahahahahaha
  4. D

    Muleba: Karani wa Halmashauri ya Wilaya ashtakiwa kwa tuhuma za Rushwa

    Sasa unaiba mil 3 mana yake ww ni kapuku.....unaezaje kulipa mwanasheria??? Kufungwa sio mana ww ni mhalifu ni vile tu umeshindwa kujitetea mahakamani au kesi yako ina faida kisiasa kwa wanasiasa fulani. ndo mana ni nadra sana tajiri kumkuta jela mana anaeza lipa mawakili chungu nzima hata jaji...
  5. D

    Rapa Sean 'Diddy' Combs anatuhumiwa kwa ubakaji katika kesi mpya

    Tangu nlivooona juzi kesi ya tupac imeibuka tena na Diddy kahusishwa nikajua tu huyu CIA watampoteza na hakuna kesi rahisi kukupoteza hapo marekani kwa sasa kama ubakaji na unyanyasaji wa jinsia....Kushirikiana na taasisi za siri za serikali unaeza piga ela mingi ila mwisho wake mara nyingi sio...
  6. D

    Naomba Ushauri wa kitaaluma kuhusu uhusiano wa kitaaluma kati ya elimu ya bachelor na masters kwenye ajira

    Mim ni kijana niliemaliza elimu ya degree/shahada miaka 7 iliyopita nilisoma bachelor of "education in economics and accounting " lakini sikuwahi kubahatika kufundisha kama mnavyoelewa nchi yetu unasoma hiki alafu kazi utafanya utakayopata Nlibahatika kufanya kazi mbalimbali ila mwishowe...
  7. D

    Malawi kuzuia biashara ya fedha za kigeni ili kunusuru uchumi

    Ni kweli reserve ya dola hazitoshi kwa nchi zetu africa sababu tunanunua sana kuliko kuuza, ila point ya kumaintain value ya pesa kwenye dunia hii ya biashara ni kuipa thamani pesa yako kwa kuhakikisha unauza sana vitu nje. Hizi nyingine ni minor sana
  8. D

    Malawi kuzuia biashara ya fedha za kigeni ili kunusuru uchumi

    Mchango wa bureau de change kwenye kushusha thamani ya pesa ni mdogo sana.....law kubwa ni moja tu ukitaka thaman kubwa ya pesa yako ni "fanya pesa yako itakiwe na watu" demand ya pesa yako ikiwa kubwa lazima thamani ipande nchi za Africa zinatakiwa ziache kutibu dalili za magonjwa ianze kutibu...
  9. D

    Bashiru akerwa na kauli ya 'anaupiga mwingi' na wanaosifu utawala wa Samia

    Tatizo alishapoteza credibility kwa hvyo hapa kwa sasa kwa mtu muelewa atajua tu anayasema haya kwa kuwa Boss wa sasa sio Boss wake mpendwa......!! the moment akiwa Boss wake mpendwa who knows atageuka???Hayati Nyerere namnukuu aliwahi sema "tujiepushe sana na wanasiasa wenye tabia za...
  10. D

    Sheikh Mselem: Uamsho ilikuwa ni suala la kuwaandaa watu na Katiba Mpya

    Taifa lina katiba nzuri imejitosheleza kabisa...mbona unamsemea kila mtu mzee? Hayo mamlaka ya kugeneralize unayatoa wapi? Mfano Mimi naona haijitoshelezi..!
  11. D

    Temitope Balogun Joshua, (TB Joshua) afariki Dunia

    Kifo hakina formula kwa kila binadamu mzee.
  12. D

    Ni umri gani hutakiwi kuvuka kabla ya kupata mtoto wa kwanza?

    Kweli....muhimu kuishi tu..maana kila mtu ana maswali yake ya nn kumpa mtu majibu yako?
Back
Top Bottom