Mi nakumbuka wakati wa kuandikishwa jina nikashangaa mzee anataja jina tofauti wkt mm nilikuwa naitwa jina lingine. Mimi nikawa natumia lile jina langu nililolizoea kuja kufika darasa la saba jina langu halikurudi kwa ajili ya kufanya mtihani kumbe mm nilikuwa natumia jina la babu na nilikuwa...
Hbr za asubuhi wadau
Kwa kweli binafsi nilikuwa nafurahishwa uchambuzi yakinifu uliokuwa unafanywa huku na wadau mbalimbali wkt wa uchaguzi mkuu.
Kila saa nilikuwa nafungua jamii forum kusoma na kuchangia mada
Baada ya uchaguzi wale creative thinkers wamepotea jamii forum imekuwa ya kawaida sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.