Lengo sio kuzikimbia ila nahitaji kujipanga kwanza kabla sijaingia huko ndo mana napenda nijue baadhi ili nipambanue zilizo ndan na nje ya uwezo wangu wakuu. Nahitaji kufanya maamuzi sahihi nisije nikajilaumu badae
wakuu asanteni kwa ushauri wenu pia ningependa kupata japo experience yenu kidogo kwenye couples za design hii kama zinakuwa na mafanikio au vipi na kama kuna matatizo mostly yanakuwa yapi ili nijue naanza kuweka msingi gani wakuu
Nimedate mdada of my age (26), ni kama mwezi mmoja umepita toka aniambie kuwa ana mtoto mmoja. Kiukwel tunapendana sana na sitaki kumcheat wala kumpotezea muda wake. Napata mawazo ya kumwoa in future ila naomba kwa wajuzi wa mambo mnishauri kwa jinsi ilivyo naweza nikapata changamoto gani...
halaf hii kama story ya mshikaj wang mmoja ye alimchinja mbulula wake sa hiv yupo segerea nahisi hata wewe kifo kinakuita, yan hata kama ni mimi ukinibwaga hivyo sikuachi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.