Recent content by DrFranky

  1. D

    JamiiForums Tanzania Waziri Jafo kwanini unadanganya watanzania kuhusu ajira za Walimu?

    Umepita kimyaaaaaaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
  2. D

    JamiiForums Tanzania Serikali yakanusha taarifa za kuanza kutoa ajira

    Duuh mbona hata hiyo barua ya kukanusha haina muhuli??? Daah kwanni serikali imeweka usiri mkubwa sana ktk swala hili la Ajira, na mishahara, madaraja na stahiki za wafanyakazi? Nini hatma ya hili,??? Ushauri wangu kwa wakuu ni bora wangetoa taarifa ni lini watalikamilisha hili maana kimya...
  3. D

    JamiiForums Tanzania Serikali yakanusha taarifa za kuanza kutoa ajira

    Haina maana kabisa coz wamekanusha then hawasemi lini watatoa, so ni bora watu wangejua ni wapili then wakakomaa na kaz nyingne
  4. D

    JamiiForums Tanzania Serikali yakanusha taarifa za kuanza kutoa ajira

    Ajira kubeba tofali za kujengea[emoji23] [emoji23] [emoji23]
  5. D

    JamiiForums Tanzania Serikali yakanusha taarifa za kuanza kutoa ajira

    Point
  6. D

    JamiiForums Tanzania MTV Mama Awards 2016: Watanzania waambulia patupu, Nigeria na South Africa wang'ara

    Tuzungumzie la sasa, yaliyopita yamepita
  7. D

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Haya ndio Mambo yanayotukera Wanawake

    [emoji23] [emoji23] [emoji23]
  8. D

    JamiiForums Tanzania Waziri Kairuki: Baada ya uhakiki wa vyeti, tutahakiki matumizi ya mishahara kwa watumishi

    hahaaa hatare sana, tutayasikia na kuona mengi mwaka huu aisee,
  9. D

    JamiiForums Tanzania Uchumi wa Tanzania unaelekea wapi? Mauzo DSE yashuka kwa asilimia 81. Haijawahi kutokea

    Hatare sana, bila ubishi maisha uraiani ni magumu ile mbaya
  10. D

    JamiiForums Tanzania Ndege Ya Tanzania, Ngazi za Kenya Airways

    [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
  11. D

    JamiiForums Tanzania KILIO CHA AJIRA: Ukimya wa Rais Magufuli waleta hofu

    kiukweli ukimya wa wakuu wetu si vyema, maana naona serkal inapoteza uaminifu, waliomba miezi miwili na kutaka watu wawe wavumilivu, je bado haijaisha?:, vijana chukueni hatua mjitafutie tu kama ujasiliamali mjifunze msingoje, may b one day yes!
  12. D

    JamiiForums Tanzania KILIO CHA AJIRA: Ukimya wa Rais Magufuli waleta hofu

    Asante ndgu kwa mchango mzuri, lakini pia unalizungumziaje kwanza swala la elimu itolewayo mavyuoni kwetu, maana elimu yetu haimfundish mtu kujiajiri ila badala yake vijana wengi wanasubir serikali, vipi hauoni hili linaweza kuyumbisha uchumi binafsi na wa Taifa mkuu?
  13. D

    JamiiForums Tanzania KILIO CHA AJIRA: Ukimya wa Rais Magufuli waleta hofu

    Nini mawazo yako juu ya hili? Unazani serikali yetu kuchelewesha Ajira kwa wasomi mbalimbali wenye sifa na vigezo linaweza kupelekea uchumi kuanzia kwa ngazi za familia na hata Taifa kiujumla kulegalega kutokana na kundi kubwa kukosa kazi maalumu za kufanya mitaani na kuwa tegemezi ktk familia...
  14. D

    JamiiForums Tanzania Kwanini Wasukuma wanachukuliwa kama kabila la kipekee Tanzania?

    [emoji23] [emoji23] [emoji23]
  15. D

    JamiiForums Tanzania Waraka wa ajira umetoka?

    [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji23] [emoji23]
Back
Top Bottom