Samahani naomba kujua, huyu jamaa anongea kama waziri mkuu ama kama katibu mwenezi na itikadi wa CCM AU L kama yule jamaa yao Tambwe hiza na cheo Cha propaganda?
Ushauri, kaeni kikao bila mama kubalianeni kuinunua ila ibaki kuwa Mali ya familia, baadaye kaeni kikao na mama muombe awauzie na process zote za manunuzi za kisheria zifanyike.
Naomba kujua wastani wa bei ya usafiri Kwa njia ya Meli toka China kuja Tanzania Kwa CBM.
Nimepanga kuagiza bidhaa Fulani Fulani Kwa ajili ya kuuza huku KWa jumla, supply akanipa CBM ya mzigo kuwa ni 7.29 na bei ya manunuzi na usafiri Hadi Kwa agent wangu ni TSHS. 5,800,000/=, nikamuuliza...
Sasa hivi wanabeba makaa ya mawe Ruvuma tena Kwa wingi ila swala la barabara sio kipaumbele....mbaya zaidi kule wanakoyachimba wananchi wnakula vumbi tu.
Picha sina....ila umenikumbusha mbali sana miaka ya 90 mwanzoni kulikuwa na igizo lake RTD kama sijakaosea likuwa linaanza saa tatu..siku sikumbuki..hapo familia nzima haiendi kulala inasubiri kipindi...kikianza ole wako upige kelele.,..
Kuna watu ama kwa kujua ama kuto kujua wanawachukulia poa sana walimu.....nawahakikishia walimu wa sasa si wa enzi zile binafsi nawajua walimu wengi tu ambao wamepambana kiuchumi wako mbali sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.