Na wengi hufananisha lazer jet cheap za hp na Epson ink jets wanaona Epson ni bora, ni kweli kwenye angle ya kupunguza gharama. Ila kwenye real gama ya kuprint vifungashio kwa shelf life ya zaidi ya 3 months sihauri na hapo ndio wanakuja wenye muscles za kifedha na kuwekeza mamilioni kwenye...
Airtel kwa home rooter ni 70k , hii kwangu naona inanisumbua ghali ikiwa matumizi yangu madogo aise nataka kuwakacha na fiber hawajafika mtaani kwangu optional nyingine rahisi ata speed ikiwa chini like 10mbps sio mbaya sina matumizi makubwa.
Wanajijua.
KUishi nyumba za kupanga ni mifumo.
Unaacha ardhi kijijini kuja kupanga town, umeacha kilimo, ufugaji na kuamua kuuza maji. Anyway kila kitu kina two sides.
Naona ni baada ya kile kikao chao cha Beijing ndio matunda yenyewe. Walikuwa na lengo lakupunguza idadi ya watu kwa kuvunja unit kuu ambayo ni familia. Back in the day mama walizaa watoto 5+ sasa ni wawili au mmoja, mama akifikiria malezi hatamani kuongeza mtoto.
Anyway nadhani hii haijatokea...
Labda kama utalaminate/ weka nylon kwa juu tofauti na hapo itapauka na kuchujuka, kuhusu kuwa kwenye field nipo zaidi ya miaka 10 najua ninacho kiongea.
Epson printing ni kubana matumizi ila real game nikutumia lazer toner.
Kwa premium printing kwa bidhaa imbayo itawekwa kwenye fridge au itaka zaidi ya 3 months kwenye shelves sishauri uprint na Epson cos itapauka au kuchujuka(fridge), ni nzuri kwa bidhaa inayotembea haraka sokoni.
Printer za Epson zitakubariki kwa matumizi ya kawaida doc, picha za kawaida , passport, vitambulisho, n.k
Kwa matumizi heavy tafuta option nyingine za printer zinazotumia wino wa unga kama kodak n.k
NB: Epson unapata kuanzia 300k ila kama unataka uprint na vitambulisha make sure ina option ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.