Recent content by Dr Luu

  1. Dr Luu

    Senegal wapokwa ubingwa wa AFCON 2025 na CAF, apewa Morocco

    Biashara/ project za watu hizi, mpira sio reality ni mchezo kama michezo mwingine ndio maana wanasiasa huitumia kupata kura. Wewe anzisha ligi hata kama ni ya kijiji dhamini ndani ya ya miaka mitatu kisha tangaza nia yakugombea moja ya nyadhifa like udiwami, wenyekiti n.k ukikosa njoo...
  2. Dr Luu

    Usingizi ni afya

    Habari za wakati huu, Usingizi sio anasa — ni tiba ya mwili na akili. Watu wengi wanapuuza kulala vizuri wakidhani ni kupoteza muda. Ukweli ni huu: ukikosa usingizi wa kutosha, unajinyima nguvu, afya, na hata mafanikio yako. Faida za kulala kiafya: Huimarisha kinga ya mwili Hurekebisha seli na...
  3. Dr Luu

    Je, macho yanahusika na tatizo la kujisikia kichwa kizito?

    Macho ni scanner (brightness), hivyo ikiwa umekaa kwenye mwanga usio na afya/ balance unaweza sababisha hilo hasa mwanga wa TV/smartphone (black mirrors/ blue light) huweza sababisha. Ikiwa tatizo linakutokea hata ukiwa hautumii vifaa hivi kwa muda mrefu basi huwenda unatatizo zaidi hasa kwenye...
  4. Dr Luu

    Tatizo hili linaninyima raha na Amani

    Je, unapata shida ya usingizi, ganzi viganjani au miguuni, au kichwa kuuma sometimes? Iki jibu ni ndio kati ya maswali hayo basi kuna uwezekano unatatizo la mfumo wa wa fahamu. Chukua hatua kwani inaweza sababisha body paralyze
  5. Dr Luu

    Msaada wa dawa kwa anaejua!

    Dalili ya bawasili, mara nyingi hasa bawasili ya ndani. Kinyama = mshipa wa damu kuwa clogged kutokana na muccus then huwa hivyo. Take care what you eat punguza wanga mbogamboga usikose kwenye mlo wako hii ndio 🔑, punguza alcohol if unatumia. Stay hydrated 💧
  6. Dr Luu

    Je, ulifika Third floor(30s) bila kuwa na familia? Hali ilikuwaje?

    Kama ungezaa ukiwa na 20s unahisi ingekupa furaha? Ulishawaza juu ya malezi? Vp taasisi unayo hianzisha ina malengo gani, malezi gani, kingdom ipi? Ukishajibu haya jiulize tena swali lako, bila shaka majibu yatabadilika. Kisha jua muda sio halisi, unaweza kuwa 20s ukaonekana mzee wa 60s.
  7. Dr Luu

    Trigeminal Neuralgia - naombeni ufafanuzi juu ya tatizo hili la kiafya

    dalili hizi zinafanana sana na trigeminal neuralgia (TN), aina ya maumivu ya neva ambayo hutokea kwenye uso. Imetajwa katika vyanzo vya matibabu rasmi kama NHS na healthdirect kama maumivu mkali ya ghafla, yanayotokea upande mmoja wa uso na yanayoweza kueleweka kama mshtuko wa umeme. Mara nyingi...
  8. Dr Luu

    Naomba kufahamu mazoezi maalum ya mgongo

    Kama ganzi ni upande mmoja au inaambatana na maumivu ya mgongo MRI ya uti wa mgongo au shingo Kuangalia disc prolapse, nerve compression, spondylosis Ukweli wa moja kwa moja Ganzi si dalili ya kawaida—ni ishara ya neva kuathirika. Kupaka mafuta au painkiller hakutibu neva. Ukichelewa, ganzi...
  9. Dr Luu

    Mliopona maumivu ya mgongo, kiuno, na viungo mlitumia dawa gani?

    Dawa zipo ni PM NB: huitajika kubadili mfumo wa chakula pia kwakuwa source ya ugonjwa huusisha pia ulaji.
  10. Dr Luu

    Nasumbuliwa na fangasi sehemu za siri, hamna dawa ambayo sijatumia

    Kwa tatizo hilo waweza kuni PM nikakupa dawa na ushauri pia, na kwa yeyote anayehitaji dawa ni Tsh 20,000/- ni herbal Kwa tatizo hili kupona ni uhakika
  11. Dr Luu

    Wazee wa kupiga deki hakikisha hili kwa usalama wa afya yako

    Utamaduni wa kigeni umeleta tabia hii kupitia filamu za utupu, kumbuka picha huadhiri sana ubongo kwa namna ya kufikiri na baadae huwa tabia ni kama vile unaona picha ya tangazo fulani alafu ukawa mteja wa bidhaa au service hiyo. Hivyo hivyo kwa uangaliaji wa filamu hizo hujenga tabia hizo...
  12. Dr Luu

    Kwa wanaume: Dressing table yako ina nini na nini?

    Mm hujali kitana, perfume na mafuta ya ngozi tu na nina prefer coconut oil cos ni multipurpose 🧰⚒️
Back
Top Bottom