Recent content by Dr Luu

  1. Dr Luu

    JamiiForums Tanzania Anayejua dawa ya jino, leo sijalala

    Kwa anayetaka dawa ya jino,PM thus all.
  2. Dr Luu

    JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Vuta fiber kama ni office au home use, Airtel hawana consistency
  3. Dr Luu

    JamiiForums Tanzania Tujuzane printer nzuri kwa ajili ya kazi tofauti tofauti

    Na wengi hufananisha lazer jet cheap za hp na Epson ink jets wanaona Epson ni bora, ni kweli kwenye angle ya kupunguza gharama. Ila kwenye real gama ya kuprint vifungashio kwa shelf life ya zaidi ya 3 months sihauri na hapo ndio wanakuja wenye muscles za kifedha na kuwekeza mamilioni kwenye...
  4. Dr Luu

    JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Airtel kwa home rooter ni 70k , hii kwangu naona inanisumbua ghali ikiwa matumizi yangu madogo aise nataka kuwakacha na fiber hawajafika mtaani kwangu optional nyingine rahisi ata speed ikiwa chini like 10mbps sio mbaya sina matumizi makubwa.
  5. Dr Luu

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Huko maofisini wadada wengi ni single mama, hali ni mbaya

    Psychological kuna kitu hakiko sawa mwanamke kuamua kwenda front na mwanaume kutaka kulelewa ni change quoter Hii imekaaje kitaalamu, wajuzi?
  6. Dr Luu

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Huko maofisini wadada wengi ni single mama, hali ni mbaya

    hatari 😁
  7. Dr Luu

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Huko maofisini wadada wengi ni single mama, hali ni mbaya

    Wanajijua. KUishi nyumba za kupanga ni mifumo. Unaacha ardhi kijijini kuja kupanga town, umeacha kilimo, ufugaji na kuamua kuuza maji. Anyway kila kitu kina two sides.
  8. Dr Luu

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Chidy nikufate wapi nikupe K. nikamwambia Kipapiro chako ntakifanyia nini mimi.

    Sure.
  9. Dr Luu

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Huko maofisini wadada wengi ni single mama, hali ni mbaya

    Naona ni baada ya kile kikao chao cha Beijing ndio matunda yenyewe. Walikuwa na lengo lakupunguza idadi ya watu kwa kuvunja unit kuu ambayo ni familia. Back in the day mama walizaa watoto 5+ sasa ni wawili au mmoja, mama akifikiria malezi hatamani kuongeza mtoto. Anyway nadhani hii haijatokea...
  10. Dr Luu

    JamiiForums Tanzania Tujuzane printer nzuri kwa ajili ya kazi tofauti tofauti

    Labda kama utalaminate/ weka nylon kwa juu tofauti na hapo itapauka na kuchujuka, kuhusu kuwa kwenye field nipo zaidi ya miaka 10 najua ninacho kiongea. Epson printing ni kubana matumizi ila real game nikutumia lazer toner.
  11. Dr Luu

    JamiiForums Tanzania Tujuzane printer nzuri kwa ajili ya kazi tofauti tofauti

    Kwa premium printing kwa bidhaa imbayo itawekwa kwenye fridge au itaka zaidi ya 3 months kwenye shelves sishauri uprint na Epson cos itapauka au kuchujuka(fridge), ni nzuri kwa bidhaa inayotembea haraka sokoni.
  12. Dr Luu

    JamiiForums Tanzania Tujuzane printer nzuri kwa ajili ya kazi tofauti tofauti

    Printer za Epson zitakubariki kwa matumizi ya kawaida doc, picha za kawaida , passport, vitambulisho, n.k Kwa matumizi heavy tafuta option nyingine za printer zinazotumia wino wa unga kama kodak n.k NB: Epson unapata kuanzia 300k ila kama unataka uprint na vitambulisha make sure ina option ya...
  13. Dr Luu

    JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Hizi bando ni kama mifi za Airtel bora kuchukua hiyo mifi kwa mwanzo 50k with 80gb / month.
Back
Top Bottom