wakuuu naomba msaada hii tv ni tcl kama smart ila ina youtube za kichina yan kila kitu hata movie za kichina ni muundo wa smart msaada mana naona sielew ni feki mwanzo mwisho mana ni full kichina
oya nyie wabibi mbona mnatuharibia kariakoo yetu nyau nyie endeleen kuja tutawatapeli mpaka muuze mali zenu za urithi &&& mnavotusema nyie mnataka tuishije na sisi tuna familia na utapeli ndio unatuweka mjin nyau nyie rudien tena
wanaume wa dar waoga sana mnaogopa vitoto vidogo panya road shenz nyie fanyen misako wachinjen kabisa nyau hao ...waambien panya road waje usukuman huku tuwachinje kama kuku shenz zao
kilimo kinalipa karibuni shamban lima parachichi heka 80 kila mwaka utakuwa unaingiza milioni 70 karibun tuwekeze kwenye parachichi acheni mawazo ya kuajiriwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.