Dhamira ya chakawa sijui UKAWA itatimia bungeni...ile dhamira yao ya dhati iko hatiani...siwaoni kama watu visionary...ni watu illusionary...huwezi kukimbilia kuitoa ccm ambayo inaweza kujisahihisha kwa sababu ina misingi imara na watu imara,,kwa kuleta kiongozi anayekurupuka na kubadili gia angani
Mtoa mada ni Very bogus,lazy na mgumu wa analysis...Hata kujua tu kuwa usaliti,unafiki,uzandiki,na uroho walioonesha Chadema na UKAWA yao kwa kumwita Lowassa ni kwa sababu walijua wasingeweza kumshinda Magufuli...Lowassa ataongeza upinzani lkn urais ni kitendawili kwake...pia...Si kila barabara...
Wajinga sana Wanaosema hakuna Busega...Rafa Chegeni ni mbunge wa wapi???pole tz..huyu akipewa uongozi na ccm au wachumba zao act hachelewi kuuza nchi...kichwa Nazi kabisa
kawaambie mabwana zako mbiu la mgambo lilishalia..huu ni mziki mnene
Sitta may..yes.. and frankly speaking if there is anyone who thinks CCM is going to elect a man who will make citizens question then he is wrong..if anyone thinks that CCM will elect an "actor" who creates groups to persuade him so that we can take it that he is viable..he is wrong..this country...
Vyema kwa kutumia haki yako kusema..lkn pole kwa kutaka mwingine badala ya kubakiza kura yako upinzani ili idadi yao iwe akidi bungeni ili Mnyika akitoa hoja kudai haki zenu hoja yake ipite..pia kumbuka yeye ameshakuwa mbunge bora Mara mbili kwa kutoa michango..kuuliza maswali ya msingi na...
Mnaotafuta nafasi nje ya CDM mnachekesha mkidai kuhusu kuminywa kwa democracy, walakh hakuna popote mtakapokwenda mtakapokutana na mnachokitaka.
Mmegubikwa na uroho kuliko uvumilivu na umoja wa kuiengua CCM kwa kuanza tu...mnafikiri ACT pale wote watafurahi ZZK kuwa Kiongozi Mkuu wa Chama...
Maana hawa team Lowassa kotekote ndo wanachohubiri..Mara kashawishiwa...Mara Tafiti...Mara sio fisadi..Mara maamuzi magumu...come on..is he so special like that???mnasikitisha sana..mnaaibisha sana...
Seriously mnaringia kushawishiwa na makundi mliyoyaandaa na hizo Tafiti???au kuna kingine???Hahahaha..pole Tanzania kwa kuvamiwa na wapuuzi na wajinga wachache
Kinachofanya akose mvuto ni mbinu zake chafu zilizojaa ukabila na udini...pia usanii wake kutuaminisha wenye akili zetu kuwa anashawishiwa...y all these dirty tricks?? Na mnatuambia utafiti??? Utafiti ni predictions tu!!Brazil pale Tafiti zilishow Chama tawala kitashinda lkn kikashinda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.