Ajira ni tatizo TZ, hili sio issue kwa timu Lowassa, kwa ujira kidogo tu watapata jobless wa kutosha wa kuwatetea. Ila sitegemei mtu mwenye akili timamu,asiyenufaika na chochote kushabikia kilichofanywa na CDM na Ukawa.
Dr.Slaa asipong'atuka nitamuona mpuuzi wa mwisho TZ,
I feel bad kwa wanasiasa vijana, kwani Lowassa ameshawatia najisi ingali bado wabichi kabisa kwenye siasa wengine hata re-election ya ubunge hawajapata bado.
Sasa hivi ghafla bin vuu wako upande mmoja na fisadi mkuu na timu yake yote ya Marafiki ( hapa hesabu Chenge, Karamagi, Tibaijuka, Rostam...naaa KINGUNGE)
Duh, siasa kweli hazifai,heri yetu tunaoishi kwa kutumia vipawa alivyotupa mwenyezi,huku kuishi kwa kutegemea nyota au matukio mwisho wake ndio haya...,
November 2015 kutakuwa na Jobless wa kutosha hapo Dar.