Tatizo ukifika Polisi kibao kinageuzwa unaambiwa umejipatia fedha kwa njia ya udanganyifu au wizi baada ya kuaminiwa hivyo hiyo ni jinai unadhani utafanyaje hapo
Anapelekwa na upepo wa dunia namna unavyovuma ndivyo anavyozidi kupoteza dira ya nafsi na kufanya asiitambue kesho yake
Sent from my Phantom6-Plus using JamiiForums mobile app
Mwanafunzi aliebakwa akabeba mimba anahusikaje na kufanya ngono kwa ridhaa yake,hapa haitakuwa anakumbana na adhabu mbili na zote zinakwenda kuharibu maisha yake?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.