Recent content by Dotto Diocres

  1. D

    Ushauri: Kila nikimuona mwalimu wangu nachanganyikiwa kimahaba

    Give a try to approach him, I'm sure u will be released to some extent . kama unahisi unaweza move one bila yeye then do it also.
  2. D

    Baadhi ya Vyuo Vikuu vinazalisha Wasomi bomu

    Nimekuelewa sana mkuu, but si kweli kuwa wanaokwenda vyuo vikuu ni vilaza, mitaala ya vyuo haimruhusu mwanafunzi kuwa competent kama mnavyotaka but competence inapatikana anapokwenda kufanya kazi ya kitu alichokisomea. Utata ni pale vitu zinakua nyingi and muda unakua mfupi, lecturers wanakimbia...
  3. D

    Tuwashangae vijana au tumshangae Dr. magufuli?

    U might be right but not totally right. It has been announced that to all loan beneficiaries should make sure you pay back the money you was sponsored . where does that money come from? And if we decide to start our own business we should also seek job from the government, I mean in any where...
  4. D

    Wasioamini Mungu mnatafsirije mazingaombwa

    Habari, Mie sidhani kama hakuna hasiyeamini kuwa mungu hayupo. Sema kuna kitu twasema "kupuuza", hii kitu humfanya mtu ajihisi kama anaouwezo wa kujiendeshe mwenyewe aka kujisimamia mwenyewe katika mambo yamuhusuyo mwenyewe. Hakuna mtu atembeae mwenye bila msaada wa mungu ila sema sikuizi tuko...
  5. D

    Hizi ndio Familia 13 za Illuminati zenye nguvu duniani Zilizopewa nafasi ya Kuumaliza Ulimwengu

    Za mida wakubwa, Katika uendeshaji wa dunia bila shaka Luna boss kama sijakosea, hii ni kwasababu utawala wa mataifa mengi hasa hapa Afrika tuko chini ya nchi zenye nguvu kama US. Unaweza husione jinsi gani tunaongzwa na hao watu wa NWO( new world order) lakini wapo mpaka sasa, na kwetu Tz...
  6. D

    Aina kuu tano za ukahaba

    Ee bhana nimeipenda sana iyo description Mkuu, make ninakoishi kuna indirect prostitution wakutosha .....lisipite gari ama arufu ya mkwanja wote wanalegea kwa jina la tamaa.
  7. D

    Urembo wa vikuku, vishaufu na cheni (shanga) kiunoni kwa wadada

    Ahahahahah, angeona uno nadhani hasingelisema zaidi ya kufuata asali iliko
  8. D

    Mnamuongelea mtu furani, halafu mda si mrefu anatia timu/kufika maana yakee nini hii?

    Sie husema kuwa anakua na Maisha marefu ila wengine watakwambia kuwa ana mzimu mkali mno uliomfanya apitie sehemu mnapokua.
Back
Top Bottom