Recent content by dos un

  1. D

    Anatafutwa mtu wa kufanya naye biashara ya saluni ya kike

    Ubia wa kibiashara (Women Saloon) Anatafutwa mtu yeyote ambaye yupo tayari kuingia ubia wa kibiashara Katika biashara ya Saloon ipo njia panda ya chuo Sifa zinazohitajika. 1. Awe mwenye uwezo mkubwa wa kufanya mawasiliano katika mitandao ya kijamii 2. Awe na uwezo wa kuongoza na kusimamia...
  2. D

    Nafasi ya kazi za Ndani.

    Awe ameolewa ama hajaolewa sio tatizo. Naishi ubungo kibangu.hayo mengine njoo PM.
  3. D

    Nafasi ya kazi za Ndani.

    Wa kike.
  4. D

    Nafasi ya kazi za Ndani.

    Habarini. Nahitaji mfanyakazi wa nyumbani. Sifa. *Awe mtu mzima kuanzia miaka 25 na kuendelea. *Awe na hulka na kupenda watoto. *Awe mchapakazi. *Awe na afya njema. * -Kazi ni ya kwenda na kurudi. -Mshahara ni maelewano ila pia unaweza kuongezeka kulingana na ufanisi wa kazi. Aliye...
  5. D

    Nahitaji mafuta ya nazi

    Habari mkuu. Pole ulifanikiwa kupata mafuta ya nazi kwa ajili ya kunywa?
  6. D

    Mafuta ya Nazi

    Ujazo wa mls. 200. Karibu sana
  7. D

    Mafuta ya Nazi

    Reja reja ni 8500 na. Jumla yanapatikana kwa 84,000 kwa katon. nipo ubungo kibangu huduma inakufuata ulipo kwa wakazi wa Dar bure kabisa. Na mikoani tunasafirisha mteja atalipia pia gharama ya usafirishaji
  8. D

    Mafuta ya Nazi

    Wadau karibuni mafuta mazuri ya nazi asilia kwa ngozi na nywele zako. mawasiliano. Piga: 0712 464 064 whatsapp: 0767 270 682 Rejareja ni 8500 kwa chupa ya ujazo wa Ml. 200 jumla ni 84,000 kwa katon. dar utaletewa ulipo. Kwa mikoani tunasafirisha kwa gharama maalum.
  9. D

    Kwa uzalishaji na masoko ya biashara za madini, njoo hapa uliza chochote

    Nina madini ya graphite ktk form mbili ulya unga na mawe. Serious buyer plz contact through Private msg. Karibuni sana. Ni zaidi ya tani 200 zipo site
  10. D

    Nauza Mafuta ya Nazi asilia

    Nauza mafuta ya Nazi asilia. Rejareja bei ni Sh.8500 tu kwa chupa ya ujazo wa Ml.200. kwa jumla ni 84,000 chupa 12. Unaletews ulipo kwa wakazi wa Dar. Napatikana ubungo River side. karibuni sana. Piga: 0712 464 064 whasapp.0767 270682
  11. D

    Nauza Mafuta ya Nazi asilia

    Habarini wana jamvi. Mimi mjasirilia mali ninayechipukia. Nimeamua kutengeneza mafuta ya nazi asilia mazuri kwa ngozi za watu wote. hayajathibitika kuwa na madhara mwilini. Yanapatikana kwa ujazo wa ml. 200 kwa bei ya sh. 7,000. Gharama hii ni bila ya usafiri. karibuni sana. Kwa mawasiliano...
  12. D

    Natafuta Nyumba ya kupanga

    Habarini wana Jamii. natafuta nyumba ya kupanga Iwe maeneo ya ubungo au mabibo hostel, vyumba vitatu vya kulala, jiko, sebule , luku yake, iwe ndani ya geti pamoja na maji ya Dawasco. Mawasiliano ya awali ni ndani ya Jamvi hili. Asanteni
  13. D

    Natafuta wataalamu wa vifungashio

    Habarini wadau. Nahitaji vifungashio vya mafuta ya nazi vilivyo na ubora wa hali ya juu ili kukidhi masoko ya ndani na nje. Mawasiliano yafanyike katika usi huu.
  14. D

    Nafasi ya kazi kwa mkazi wa Ubungo kibangu.

    Habarini wana JF. Nafasi ya kazi katika kituo cha biashara ya pesa yaani Mpesa n.k. maeneo ya kibangu karibu na shule ya msingi. Sifa za muombaji. Awe mwaminifu kwa kiwango cha juu. Awe na elimu kuanzia kidato cha nne na kuendelea. Awe na ufahamu mzuri wa mambo ya pesa. Awe mkazi wa maeneo ya...
  15. D

    New (WD) External Hard Drive for Sale

    Nimecheki na hiyo WD media player haipo ila ipo design kuna inayoitwa Giga....
Back
Top Bottom