Nafasi ya kazi kwa mkazi wa Ubungo kibangu.

dos un

Member
Nov 24, 2015
24
9
Habarini wana JF.
Nafasi ya kazi katika kituo cha biashara ya pesa yaani Mpesa n.k. maeneo ya kibangu karibu na shule ya msingi.
Sifa za muombaji.
Awe mwaminifu kwa kiwango cha juu.
Awe na elimu kuanzia kidato cha nne na kuendelea.
Awe na ufahamu mzuri wa mambo ya pesa.
Awe mkazi wa maeneo ya ubungo kibangu.
Awe na wadhamini ambao wana makazi ya kudumu katika maeneo hayo.
Na Uzoefu wa mwaka mmoja katika kazi tajwa.

Malipo yatafahamika baada ya mahojiano.
simu zipigwe muda wa kazi tu na sio usiku.

Tunashukuru wote waliojitokeza.
Nafasi hii imeshapata mtu mstahiki.
 
Last edited:
Habarini wana JF.
Nafasi ya kazi katika kituo cha biashara ya pesa yaani Mpesa n.k. maeneo ya kibangu karibu na shule ya msingi.
Sifa za muombaji.
Awe mwaminifu kwa kiwango cha juu.
Awe na elimu kuanzia kidato cha nne na kuendelea.
Awe na ufahamu mzuri wa mambo ya pesa.
Awe mkazi wa maeneo ya ubungo kibangu.
Awe na wadhamini ambao wana makazi ya kudumu katika maeneo hayo.
Uzoefu ni sifa ya nyongeza.

Malipo yatafahamika baada ya mahojiano.
Mawasiliano 0767 200 476; 0767 270 682.



sifa tajwa nnazo ila tu mi niko tabata inakuwje hapo?!
 
Last edited:
Back
Top Bottom