Recent content by dos.2020

  1. D

    JamiiForums Tanzania Jussa: Kuna watu wamejimilikisha ajenda ya mabadiliko wanataka tuwafuate

    zinawzuia nin mkuu? kauli za chadema zinadhihirisha anachokizungumza Jussa, kila mtu afanye siasa zake waache chuki na chokochoko kwa wenzao.
  2. D

    JamiiForums Tanzania Jussa: Kuna watu wamejimilikisha ajenda ya mabadiliko wanataka tuwafuate

    kauli za wafuasi wao, kauli zao viongozi wao zinadhihirisha hayo. kama ulimsikiliza vizuri mnyika akiwa kusini utaelewa.
  3. D

    JamiiForums Tanzania Video: Heche kuna ujumbe wako hapa, acha kuropoka

    Chadema ni wabinfsi sana na Pia wanasumbuliwa na Khulka za kidikteta.
  4. D

    JamiiForums Tanzania Jussa: Kuna watu wamejimilikisha ajenda ya mabadiliko wanataka tuwafuate

    wapi au lini Jussa amewatetea CCM?
  5. D

    JamiiForums Tanzania Jussa: Kuna watu wamejimilikisha ajenda ya mabadiliko wanataka tuwafuate

    ACT hawajawalazimisha Chadema waingie kwenye maridhiano, Lakini chadema wanalazimisha ACT wasusie maridhiano. kwanini kila mtu asiachwe akafanya siasa amabzo mwenye anahisi ndio sahihi?
  6. D

    JamiiForums Tanzania Jussa: Kuna watu wamejimilikisha ajenda ya mabadiliko wanataka tuwafuate

    Chuki zinakutesa mkuu
  7. D

    JamiiForums Tanzania Jussa: Kuna watu wamejimilikisha ajenda ya mabadiliko wanataka tuwafuate

    Chadema ndio wabinafsi amabao wanaolazimisha kila awafate wanavyotaka wao na ikawakatalia wanaanza kutumia nguvu nyingi kukuchafua.
  8. D

    JamiiForums Tanzania Heche: Mbowe aulizwe mwenyewe kwanini haendi mahakamani

    Hivi kuna ulazima gani Mbowe kwenda mahakamni? vijana wa chadema wana shida ya kiakili
  9. D

    JamiiForums Tanzania Kwa Tabia hizi za kuacha kazi nina matatizo au?

    Ulibugi sana kuacha kazi ya hoteli, na hiyo ishu ya bajaji unaposema kutunza pesa ningumu ni wazi kuwa hapo tatizo ni wewe sio Bajaji
  10. D

    JamiiForums Tanzania Hivi wazungu na Waasia huwa wanatuchukuliaje sisi waafrika.

    WAAFRIKA WAMELAANIKA
  11. D

    JamiiForums Tanzania UAE ya kwanza kuidhinisha dawa ya kutibu vitiligo

    hope itasaidia kutatua tatizo, hali ni mbaya mitaani, wagonjwa wa hayomaradhi wanaongezeka kila siku
  12. D

    JamiiForums Tanzania The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

    kinachowakost man city ni sajili mbovo, Huwezi kutoka kwenye KDB, Bernando, Mahrez, Gundogan halafu ukaishia kwa Anderson, forden, Doku, semenyo Dah inasikitisha sana
  13. D

    JamiiForums Tanzania Atheists wanaweza kuwa wagonjwa wa akili?

    Jamaa kwa kweli hawapo sawa kiakili
  14. D

    JamiiForums Tanzania Naisubiria kwa hamu El Classico ijayo tuwakande Real Madrid. Hilo pira litakalopigwa na Barça sipati picha. Rodri ndani!

    Hapo barca wamepigwa, wametia milioni 80 chooni
Back
Top Bottom