Recent content by dos.2020

  1. D

    JamiiForums Tanzania Heche: Tutawaandikia barua FIFA na CAF kuwaeleza Serikali imesema kuna 'Ugaidi' wasilete Watu AFCON

    Mechi zote zitahamishiwa Zanzibar tu, ambalo pia mutanuna
  2. D

    JamiiForums Tanzania Heche: Tutawaandikia barua FIFA na CAF kuwaeleza Serikali imesema kuna 'Ugaidi' wasilete Watu AFCON

    hapa ndipo ninapokosana na hawa jamaa, Wapuuzi sana
  3. D

    JamiiForums Tanzania Dr. Nchimbi kaniacha kinywa wazi

    kwa kukusaidia tu, CCM ni kubwa kuliko Mwenyekiti wake
  4. D

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Baadhi ya Watanzania na Wakenya waunganisha nguvu kuisaka familia ya Mafwele Afrika Kusini

    hivi wakenya wana kiherehere chanini na TZ?
  5. D

    JamiiForums Tanzania Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

    tatizo linaanzia kuwa timu zinapangwa kisiasa zaidi, Alonso alitaka aende na Arda NO 10 akashindwa
  6. D

    JamiiForums Tanzania FIFA wameachia kikosi bora cha Kombe la Dunia 2026, una kionaje?

    vikosi uchwarwa, Jude na Olise wote walicheza position moja kwanini wote wakuwemo? wamekwapa kuweka no 8. Mbappe na Halland wote walicheza position moja wamekwepa left winger
  7. D

    JamiiForums Tanzania Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

    Kazi ya kiungo sio kufunga goli bali ni kutengeneza nafasi za goli. Olise amemaliza world cup na assist 7, Jude amemaliza na 1.
  8. D

    JamiiForums Tanzania Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

    tatizo kubwa la Jude ni kuwa anshindwa kufanya majukumu ya position yake anayocheza. huwezi cheza No 10 halafu ukashindwa kutengeneza nafasi kwa forwardline. matatizo makubwa yanayoikabili madrid kwenye fowardline yanatokana nayeye. yeye ndie alitakiwa awa serve Mbappe na vini, bali yeye hua...
  9. D

    JamiiForums Tanzania Messi amedhulumiwa tuzo ya mchezaji bora wa mashindano

    Mbappe ndio alikua mchezaji bora wa mashindano. Na katika watu wa mwisho wanaotakiwa kukaa kimya ni washabiki wa messi, eti kadhulumiwa! yeye amebeba tunzo asizostahiki mara ngapi?
  10. D

    JamiiForums Tanzania mchagga kamwe hamkuti mnyaturu kwa urembo.

    ulimbukeni wa kushoboka na rangi, uskute mleta mada ni msukuma
  11. D

    JamiiForums Tanzania Karata yangu kwa SPAIN, kama unataka kubeti, mpe Spain utakuja kunishukuru

    typical African mentality. Acha izo mkuu
  12. D

    JamiiForums Tanzania Argentina ni lazima ashinde kombe la dunia, hizi hapa facts za ajabu

    PIUMBAV
  13. D

    JamiiForums Tanzania 2026 FIFA World Cup - Special Thread

    Kenge wamekomeshwa
  14. D

    JamiiForums Tanzania 2026 FIFA World Cup - Special Thread

    Jamaa ni noma sana
Back
Top Bottom