Recent content by dos.2020

  1. D

    PostGE2025 Maria Sarungi: Tutawashitaki mitandao ya Simu ikishiriki Tena kwenye kusaidia Serikali uzimaji wa mitandao

    ovyo sana huyu dada, siku hizi kazi yake kuwapa mikwala tu ccm mara polisi, ni mtu aliechanganyikiwa.
  2. D

    PostGE2025 Nchi za kikristo zikizuia misaada nchi za kiislamu zitatusaidia

    hiyo misaada ikikata watakaoumia ni sisi wananchi na sio viongozi wa CCM. acheni kushabikia mambo ya kipuuzi
  3. D

    PostGE2025 Ni kilio na kusaga meno , Hakuna watalii kabisa Zanzibar

    mkuu hao jamaa wamechanganyikiwa, usisumbuke nao
  4. D

    Tujitokeze kwa wingi Dec 9. Hamna hata mtu wala sisimizi atakayeuwawa na Serikali

    nyie jamaa mumeanza kuwajaza wenzenu kama mulivyowajaza mwanzo wakenda wakafa huku nyinyi nukiwa mumejifungia ndani
  5. D

    PostGE2025 Ni kilio na kusaga meno , Hakuna watalii kabisa Zanzibar

    nyie jemaa bana, acheni roho za kikatili. kazi kudanganyana tu
  6. D

    PostGE2025 Mpaka sasa, Jakaya Mrisho Kikwete hajalaani mauaji ya WaTanganyika!

    wabongo bana kwa kupenda kutilisha huruma, sasa ndio nini?
  7. D

    Kenya, South Africa, Zambia tusaidieni kwenye mabadiliko ya uongozi Tanzania

    wao weneyewe wapo taabani kwenye nchi zao
  8. D

    Tujitokeze kwa wingi Dec 9. Hamna hata mtu wala sisimizi atakayeuwawa na Serikali

    nyie jamaa mumeanza kuwajaza wenzenu kama mulivyowajaza mwanzo wakenda wakafa huku nyinyi nukiwa mumejifungia ndani
Back
Top Bottom