vikosi uchwarwa,
Jude na Olise wote walicheza position moja kwanini wote wakuwemo? wamekwapa kuweka no 8.
Mbappe na Halland wote walicheza position moja wamekwepa left winger
tatizo kubwa la Jude ni kuwa anshindwa kufanya majukumu ya position yake anayocheza.
huwezi cheza No 10 halafu ukashindwa kutengeneza nafasi kwa forwardline. matatizo makubwa yanayoikabili madrid kwenye fowardline yanatokana nayeye. yeye ndie alitakiwa awa serve Mbappe na vini, bali yeye hua...
Mbappe ndio alikua mchezaji bora wa mashindano.
Na katika watu wa mwisho wanaotakiwa kukaa kimya ni washabiki wa messi, eti kadhulumiwa! yeye amebeba tunzo asizostahiki mara ngapi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.