Recent content by dorcascabell

  1. dorcascabell

    Ukweli kuhusu Wanyamanyafu/ Wamanyafu na Wanyakyusa

    Ndaga..! Tupilike Sent from my BlackBerry 9810 using JamiiForums
  2. dorcascabell

    Tunatangazwa 'Live' NTV Kenya kuhusiana na kusafirisha pembe za tembo kwenye ndege ya rais wa China

    Anhaaa!.. Kumbeeee...! Bac ndio maana mkubwa WA nchi alipokelewa kifahari sana ehh? Naskia alivunja rekodi ya mapokezi..
  3. dorcascabell

    MTV Music Awards June 6th, 2014

    I crossed my fingers for you diamond!. But, keep it up!!. Its a good start indeed!..
  4. dorcascabell

    Niambie nini kilitokea baada ya hapa.

    Vijana walitoka mbio hata nyuma hawakugeuka
  5. dorcascabell

    Kigamboni bridge

    Najaribu kukujibu kizushi.. Ina maana wa D'salaam wote wanaishi Morogoro road. Kila jambo la maendeleo liwalenge waoo tuu!. Any way.. nikiondoa uzushi, mwendo WA kutoka kurasini mpaka posta mpya WA gari Ni dk 2 bila foleni. Vilevile daraja kusogea pembeni kidogo itasaidia kupunguza msongamano...
  6. dorcascabell

    Je! ni kweli watanzania sisi ni wezi, waongo,wavivu na hatujari muda?

    Afadhali mmenishtua, maana na mimi nipo bize naperuzi JF kwa takriban saa nzima wakati nimeweka daftari na vitabu mezani nisome..! Sent from my BlackBerry 9810 using JamiiForums
  7. dorcascabell

    Kama una stress please read this...

    Aisee, nimecheka mnooo!. Nilikuwa Nina uchovu lakini wooote umeisha.. Sent from my BlackBerry 9810 using JamiiForums
  8. dorcascabell

    Ushauri - Hospitali ya kujifungulia

    Uzazi mwingine, jitahidi kufanya maamuzi mapema ya mahali pakujifungulia ili muweze kuhudhuria kliniki mahali hapo. Inasaidia sana kwasababu mazingira mnakuwa mnayafahamu na maendeleo yenu wanakuwa nayo katika kumbukumbu zao.. Kila la kheri.. Mungu atawasaidia, mtajifungua salama. Sent from my...
  9. dorcascabell

    Msaada;mashine yangu inakuwa imelala nkiamka

    Tatizo limeanza lini? Toa maelezo kamili, umeshafika chumba Cha Madaktari.. Sent from my BlackBerry 9810 using JamiiForums
  10. dorcascabell

    RE:Chachandu ya gold

    Bwahahaaaaa!.. Wajinga ndo waliwao!. Sent from my BlackBerry 9810 using JamiiForums
  11. dorcascabell

    Maria u an't my mammy let me go on!

    Umenifanya nirudi juu kurudia kusoma tena. Maana hutu tudodoma wine tulisha edit kila kitu.. Bwahahaaa!. Sent from my BlackBerry 9810 using JamiiForums
  12. dorcascabell

    Ukigundua msanii unaempenda sana ni Shoga, je, hilo linaweza kupelekea upunguze ushabiki?

    Yaani, hakuna msanii alieniumiza kama mtangazaji WA vipindi vya television, Ellen. Lakini baada ya muda nikazoea, maana mtu hadi kufunga ndoa. Its very sad. Ila hajabadilisha mapenzi yangu kwenye kutizama vipindi vyake.. Tena amenifanya niendelee zaidi kufuatilia kazi zake. Sent from my...
  13. dorcascabell

    Wema Sepetu: Ni kweli nipo na Diamond

    Ha ha haaaa!. Umelipata, limekuingia, linakunyevuanyevua..!. Mie sina la zaidi..! Alamsik..! Sent from my BlackBerry 9810 using JamiiForums
  14. dorcascabell

    Ugonjwa wa kifafa: Chanzo, Dalili, Huduma kwa Mgonjwa na Ushauri wa Matibabu

    Umepotea njia mkuu.. Nenda JF Doctor.. Sent from my BlackBerry 9810 using JamiiForums
Back
Top Bottom