RE:Chachandu ya gold

RE:Chachandu ya gold

Wewe ndio mwenye kosa hlo unatakiwa ulijue
 
..ya ya ya ya khaa!!! ninyi ndugu mtamuumiza huyu ndugu kwa hayo maneno yenu!!!!!! mnavyo dondosha hizo nuclear bombs zenu sijui kama ndugu Yahusu yuko salama kweli...
 

c umnununlie mwenzio na wewe?
hivi ni chachandu ya gold au cheni??
 
Alaaaa! Za kwako ndio zina kazi ya maana ila za mwenzio za kununua vikorombwezo vya kukuvutia wewe!
Kesho utatamani asuke kimasai uta order tu,nani ana fund hujui,halafu ukisaidiwa utakuja kulalama Jf.
Wanaume wanapungua sana!!
Cc. Heaven on Earth
wamebaki wachache kama kaka angu
Nimekumiss wii jamani mbona umekuwa adim sana
 
mie mzima my dia
mie mwenyewe nimekuwa busy busy ila leo nakuona tu hum

Yaani tangu January nakimbizana na muda tu!
Leo nimemtuma kaka yako anisaidie kupita pita nami nipumzike kidogo....lol
 
Akina uncle nanihii, njooni huku mtoe msaada wa kununua chachandu ya Gold na mambo mengine ya kufanana na hayo ili kuunusuru uchumba huu!!!
 
Wewe mnunulie chachandu kama pea nne hiv, cheni za silver mbili na gold mbili kesi umemaliza na hadi ukiwa unazihesabu kwa kidole chako cha mwisho na kucha raha utaipata tu, mbona kawaida sana hata tite na pichu au bosak za kike tunanunua acha kutudhalilisha wanaume" a gentleman must take care of his lover and not publicizing"
 
Nimpe Bwana sifa na utukufu kwa kunipatia huyu mchumba, ananipenda na mimi nampenda panapo majaaliwa mwishoni mwa mwaka huu tutafunga ndoa. Tatizo ni kwa x-girl friend wangu alikuwa na chachandu ya gold kiunoni. huyu hana. nilipomwomba atafute chachandu kanipa jibu linalonikosesha raha kabisa eti kwanini nisimletee na kwa nini namwambia ajinunulie. kosa langu nini hapa? mbona mwenzie alikuwa nayo?
hivi shule zimeshafunguliwa au bado..
 
duh?aibu utaweza kuifund ndoa na sherehe yake kwa ujumla?
 
Yaani umekosea sana kumwambia atafute. Wewe ndio mwenye shida na chachandu. Mpe hela akanunue au muende wote dukani.
 
Kamsemee kwa mama haiwezekani asinunue chachandu wakati wewe mvulana wapenda chachandu ya gold...
 
Bwahahaaaaa!.. Wajinga ndo waliwao!.

Sent from my BlackBerry 9810 using JamiiForums
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom