Ndugu Adam255 mkataba wako na TAESA haujasema utapata ajira ukimaliza huo mkataba .Na lengo kuu la TAESA ni kukupa wewe mafunzo kazini so ukiwa kwenye Internship hiyo jaribu kutafuta connection na usiache kwenda kwenye interview za PSRS na kujiandaa vyema kwenye hiyo interview.
Ni watu wengi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.