Recent content by dongbei

  1. dongbei

    Hapa nina full stress

    Mkuu pole, usimuamini mtu hata siku moja juu ya Afya yako. Ila kapime ukimwi ili uishi kwa amani. Itakusaidia kuwa makini zaidi na kujipenda. Kwa sasa unaweza ishi maisha ya woga na kutojiamini. Most likely hauna ukimwi, maana kwa dalili za gono nadhani daktari lazima alipima vyote ikiwemo na...
  2. dongbei

    Ningependa kujua Ada ya Shule hizi za Sekondari

    muuza mkuu salaam. Vipi feedback ilikuaje. Wengine tupo zkwa struggle kama yako tafadhari tujuze ilikuaje. Vipi Ada kama ulipata taarifa kwa Precious blood, St Monica, Canossa, Mazinde Juu, Bright Future, Anwarite.
  3. dongbei

    Kilio chetu kwa Rais Samia: Tunaomba PayPal iruhusiwe nchini Tanzania

    Nakuelewa mkuu, sometimes pia huwa na transfer kwa rafiki zangu wa Kenya then wao watanirushia kwa M-PESA. Yaani ni vurugu zisizo na sababu. Taifa pia linakosa pesa nyingi sana za kigeni.
  4. dongbei

    Kilio chetu kwa Rais Samia: Tunaomba PayPal iruhusiwe nchini Tanzania

    Naona M-PESA wameunganisha huduma yao na Alipay, walau transactions za China zitakuwa rahisi. Sijui kwanini swala la PayPal limekuwa gumu. Kama una Alipay account you might opt kutoa pesa PayPal na kuweka M-PESA. Japo kuna gharama za transfer but at least utapata pesa yako.
  5. dongbei

    Naomba kuelimishwa juu ya Mkopo wa elimu ya Juu

    Salaam wana-JF Kama kuna mwenye ufahamu wa kinachoonekana kwa hii screenshot anisaidie ufafanuzi. Kwanza hizi acronyms STP na TRV zina-maanisha nini. Ukizingatia hii ni kwa wale waliosoma nje ya nchi. Nimedhania labda ni Stipend na Travel allowances? of which nikilinganisha na pesa niliyopewa...
  6. dongbei

    Unafanya nini kumuandalia future kijana wako?

    1. Kila weekend wanaenda kusoma skills kutegemea na nini wanapenda; i.e ufundi kama magari, simu/radio/TV, kushona, guitar, piano, et al. 2. Naleta mwalimu nyumbani wa computer skills; including #coding 3. Kwa sasa nawapa kila aina ya ujuzi naoweza ku-afford gharama zake. Baadae watachagua...
  7. dongbei

    Masikini wana roho mbaya sana! Kaa nao mbali

    Uko sahihi Mkuu, ni kama umeongea kwa Niaba yangu. Ukiwa na majirani maskini ni mtihani sana.
  8. dongbei

    Tunduma iko overrated, haipaswi kufananishwa na Mafinga wala Kahama

    Japo sina takwimu ila nadhani iko hivyo. Kahama ni mji mkubwa, umezidi Mikoa Mingi ti Tanzania. Population as per 2022 Census Kahama Manispaa iko na watu 450k+ wakati Manispaa ya Shinyanga iko na watu 214,744.
  9. dongbei

    Naomba msaada namna ya kutengeneza portfolio ya kazi

    Kama mdau alivyosema hapo juu, kutuma link haimanishi kitu kipya, wanasema link coz wanajua portfolio itakuwa na vitu vingi hivyo lazima utatuma link ya Google drive au kokote ulipo upload ili wao wasome/download huko. All the best.
  10. dongbei

    Naomba msaada namna ya kutengeneza portfolio ya kazi

    Mkuu, Portfolio unaweza andaa mwenyewe. Siyo kitu kipya, in short ni detailed CV yako. Yaani ni wewe in terms of skills, education, accomplishment katika kazi zako ulizowahi kufanya, mipango/malengo yako ya baadae, wadhamini wako, na chochote unachohisi kinaweza kukuelezea kwa undani. Angalia...
  11. dongbei

    Mapendekezo ya Namna ya Kuleta Maendeleo Katika Eneo Lako la Uongozi; Nimetumia Diwani na Kata Kama mfano.

    Habari humu ndani, heri ya Mwaka mpya! Tuanze mwaka kwa kuwakumbusha wenzetu viongozi hasa hao wa kuchaguliwa na wananchi waambue dhamana waliyopewa ni kubwa na waitumie vizuri kuwaletea wananchi maendeleo. Utangulizi: Kama Mheshimiwa Diwani, kuna fursa kubwa ya kutumia nafasi hii kwa...
  12. dongbei

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Mkuu salaam. Hii shule Ada ni kiasi gani?
  13. dongbei

    Kama kuna mwanafunzi anasoma tahasusi CBG na HGE imekula kwake. NECTA yazifuta rasmi

    Mkuu jipe muda wa kufuatilia mambo! Umeeleza vizuri kiasi hapo kwa hizo combination nyingine hapo juu, nashangaa imekuwaje ameshindwa kuona umuhimu wa hiyo CBG. Ni nchi yetu tu bado tuko nyuma hata hayo masomo mengine hayatupeleki kokote kwa vile yanasomwa as theory. Twende pamoja! Mtu mwenye...
Back
Top Bottom