Braza Kede
JF-Expert Member
- Nov 1, 2012
- 1,771
- 3,405
Sasa kila mzazi kazi imekuwa moja tu, dogo aende shule.
Haya wanaenda shule wanamaliza hadi vyuo huko lakini unaambiwa ajira hamna!
Unafanya nn cha kiutofauti kumuepusha dogo na mzunguko huo ambao umeshaonekana kukosa majibu kwa hatima ya badae ya kijana wako?
Au unamwacha tu atakachokutana nacho ndio ichoicho rizki yake?
Haya wanaenda shule wanamaliza hadi vyuo huko lakini unaambiwa ajira hamna!
Unafanya nn cha kiutofauti kumuepusha dogo na mzunguko huo ambao umeshaonekana kukosa majibu kwa hatima ya badae ya kijana wako?
Au unamwacha tu atakachokutana nacho ndio ichoicho rizki yake?