Recent content by donanguru

  1. D

    Imegundulika kwenye sakata la Askofu Gwajima!

    Yaani umeandika kwa kujihesabia haki sijapata ona. Mara nyingine imani ina brain wash. Hivi nikuulize ; kusema Pengo yuko kama kavaa PAMPAZ sii tatizo ! kweli ni maneno tunayotarajia kutolewa na kiongizi wa dini mkubwa ! nyie endeleeni kubeba sadaka kwenye vikapu kumpelekea Gwajima afu yeye...
  2. D

    University of Dar es salaam yashika nafasi 37 vyuo bora Africa

    Nilisoma University of Western Cape ( ni chuo tofauti na University of Capetown) siamini kama chuo hiki kinaweza kuwa juu ya University of Dar. labda kwa majengo na mandhari.
  3. D

    Tanzania's albino community: 'Killed like animals'

    Jana nilianzisha topic inayohamasisha Taifa kufanya maombi mbele za Mungu ili vitendo vya mauaji ya Albino yaishe na adhabu kwa watekaji. NILISHANGAA sana topic haikuchuka hata dakika 10 ikawa moved'. nikashangaa topic zinazosema albino wa mwanza wahamishwe ndo zinatawala ( hata...
  4. D

    Mauaji ya Albino: Kushindwa kwa serikali?

    Binafsi nimesikitishwa sana na mauaji ya ndugu zetu Albino na watu wenye roho za kishetani, juzi alipokamatwa huyu mtoto nilisomo kwenye internet nikadhani wamerudia habari ile ya mwanzo. leo nasoma tena mtoto aliyetekwa Tanzania akutwa amefariki na viungo vimechukuliwa. ukisoma comments za...
  5. D

    Waimbaji wa nyimbo za injili wengine mnampa faida shetani

    sasa mbona waimbaji wa injili uliowataja kuwa wanavaa kiheshima wote ni wanyakyusa
  6. D

    Kanisa la Waadventista Wasabato River Side Arusha lashika Rekodi Barani Afrika

    Sawa, sasa baada ya kukamilisha hilo, muanze kusali Jumapili
  7. D

    Tahadhari kwa watumiaji wa smartphone

    mkuu ume comment kama mimi nnavyocomment kwenye mafaili Ofisini
  8. D

    Tubu kwa kuomba hii sala

    Amen Amen
  9. D

    Malia Obama apigwa mimba

    'baba wa mtoto hajulikani ila ni mzungu ' hii nayo kali
  10. D

    Hivi ITV hawana watu waliobobea habari za kimataifa?

    kwenye ufisadi tuko vizuri. Ya kwanza Uganda, ya pili Burundi, ya tatu Kenya. Tz na Rwanda tuko safi
  11. D

    Hivi ITV hawana watu waliobobea habari za kimataifa?

    Kwa kweli kwa mtazamo wangu kituo cha ITV boresheni matangazo ya habari za Kimataifa. Yaani mnawaacha watazamaji hewani. Hivi kweli hamuoni hili. Kama muda hautoshi 'adjust ' kwenye habari za Kitaifa jamani. Yaani unakuta ka power point sekunde 5 habari imeisha! Afu muwe mnaacha zile english...
  12. D

    NBC bank sucks

    no baby , you are musungu ! You might even be posting this from abroad !
  13. D

    Tamko la Benki kuu ya Tanzania

    Bogus tu hana lolote huyo Gavana. We ngoja mwezi wa tano watu wakianza kuvuna mazao utasikia ' mfumuko wa bei umepungua na Uchumi unakua'
  14. D

    NBC bank sucks

    are you white ? I mean English/ Britisho , this english is scarce in TZ
Back
Top Bottom