Yaani umeandika kwa kujihesabia haki sijapata ona. Mara nyingine imani ina brain wash. Hivi nikuulize ; kusema Pengo yuko kama kavaa PAMPAZ sii tatizo ! kweli ni maneno tunayotarajia kutolewa na kiongizi wa dini mkubwa ! nyie endeleeni kubeba sadaka kwenye vikapu kumpelekea Gwajima afu yeye...
Nilisoma University of Western Cape ( ni chuo tofauti na University of Capetown) siamini kama chuo hiki kinaweza kuwa juu ya University of Dar. labda kwa majengo na mandhari.
Jana nilianzisha topic inayohamasisha Taifa kufanya maombi mbele za Mungu ili vitendo vya mauaji ya Albino yaishe na adhabu kwa watekaji. NILISHANGAA sana topic haikuchuka hata dakika 10 ikawa moved'. nikashangaa topic zinazosema albino wa mwanza wahamishwe ndo zinatawala ( hata...
Binafsi nimesikitishwa sana na mauaji ya ndugu zetu Albino na watu wenye roho za kishetani, juzi alipokamatwa huyu mtoto nilisomo kwenye internet nikadhani wamerudia habari ile ya mwanzo. leo nasoma tena mtoto aliyetekwa Tanzania akutwa amefariki na viungo vimechukuliwa. ukisoma comments za...
Kwa kweli kwa mtazamo wangu kituo cha ITV boresheni matangazo ya habari za Kimataifa. Yaani mnawaacha watazamaji hewani. Hivi kweli hamuoni hili. Kama muda hautoshi 'adjust ' kwenye habari za Kitaifa jamani. Yaani unakuta ka power point sekunde 5 habari imeisha! Afu muwe mnaacha zile english...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.