Hebu jamani tujadili nn maana haswa ya uchochezi?ni maneno gani yanafanya uwe mchochozi?maana hili neno uchochezi ni kama vile limepanda moto awamu hii ya tano kila kukicha unasikia uchochezi uchochezi mbna awamu zilizopita hatukua tunayasikia haya na ukisikia mtu kafanya uchochezi bs ni...
Kila siku nawaambia hamieni halotel muone ilivyo nafuu na huduma bora hamtaki mnaidharau,sh 3999 MB 1536 wiki,sh 5000 MB 2560 wiki,sh 7000 MB 3580 wiki na wala huibiwi kwakua kila unapotumia wanakuletea msg umetumia MB ngapi na zimebaki ngapi,so make changes guys
Mi nataka fifa 2016 au pes lkn pes cjui namna ya ku install kwenye android mwenye uelewa hebu anipe namba yake tuongee ntamlipa pesa nikifanikiwa kuipata
Kwakweli magufuli hafanyi kitu fair angeacha tu mambo kama waliomtangulia walivyoyaacha mbona ilikua shwari tu tuliishi poa hii inaleta upset kwa jamii,cha msingi yeye angesimamia maswala ya msingi yanayogusa maslahi ya taifa hao kina chadema na wengine angeachana nao kwani wanamzuia nn kufanya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.