Kwa wapenzi wa simulation PC games

Kwa wapenzi wa simulation PC games

JAMAN MM LAPTOP YANGU INASUMBUA SANA KUWEKA HAYOO MAGAME INAISTALL VIZUR TUU ILA SHIDA KWENYE KUFUgua na kucheza mara video card mara sijui nn yan mpaka nimechoka
 
yaah hata miminapendelea hizo pia fanya utafute call of duty pia
tatzo la call of duty system requirement kubwa.
me naitaji gemu angalau zenye gpu ya mb256 kuxuka chini ndo naweza kucheza bila shida.
 
Zipo kama fifa 16 unacheza vizur full graphic kama kweli vile the pia ukitaka unacheza story mode kama kocha
huwezi fananisha football manager yenyewe na ya fifa au pes
6kp4n4y.jpg


vitu kama tactics, player instruction, na vingine vingi huwez vikuta huko
 
Mi nataka fifa 2016 au pes lkn pes cjui namna ya ku install kwenye android mwenye uelewa hebu anipe namba yake tuongee ntamlipa pesa nikifanikiwa kuipata
 
Mkwawa jaribu game ya Rise of the kings iko playstore ila ni ya Android halafu njoo na mrejesho
 
Daah Gb 60 ukadownload kweli una subira mkuu..
Otherwise wanadamu tuna subira sana si kama aliens.
Huhezi amini imechukua siku 2na masaa kama matatu kujaa ikawa inatenmbea kwa speed ya 1mbps mpaka 3mbps
 
JAMAN MM LAPTOP YANGU INASUMBUA SANA KUWEKA HAYOO MAGAME INAISTALL VIZUR TUU ILA SHIDA KWENYE KUFUgua na kucheza mara video card mara sijui nn yan mpaka nimechoka
laptop yako ina uwezo gan mkuu labda tuanzie hapo
 
Back
Top Bottom