polepole awadanganye wajinga wenzake wasie jua usiku na mchana haiwezekan ufukuzwe kwenu alafu ujigambe swala la kujimudu kwenye kujitegemea kwni muda ote ulikuwa wap na kwnn kma ulikuwa unataka kujitegemea hukuondoka kwa matakwa yko mpaka ufukuzwe ndo Tz ya leo imetolewa inasema imejiandaa duh
mtoa mada unakumbumbuku ukawa walisema kupitia mgombea wao mh lowassa hawatoshirikiana na serikali ya maghufur cz ushindi wake ni batili na sio kutomtambua kma maghufur ni rais na awajawai kumkosoa maghufur kiutendaji walikuwa wanasema inchi inaendeshwa na mfumo sio mtu mmoja mmoja ndomana adi...
nashangaa kuona mgombea wa spika ambae mwanasheria anashindwa kujibu swali na kubebwa na spika alafu mtu mpuuz anakwambia vifungu anavyo kichwan vya katiba
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.