Wakati Kenya imeamua kuuza 15% ya hisa za safaricom, ambapo serikali ilikuwa mbia. TZ tumeamua kuuza dhahabu, lets see Uganda atauza nini..... inaonekana hii ndio namna pekee ya kujinasua baada ya trump kukata mizizi ya misaada. Na hii itaenda kwa nchi nyingi zaidi.
Wapo watu watamdondoshea...
I wish Andrew Kibe could understand few things, mostly amechanganya mambo ambayo hayahusiani kabisa
1. Watanzania wengi hawapendi namna wakenya hupelekesha watu, hapa kwetu ukitaka huduma unasema naomba, kwa mkenya anasema leta. Nna marafiki wakenya hapa tz walivyokuwa wageni walipata pia hiyo...
Hersi hajachukua form ya Ubunge Kongwa. Story imeundwa undwa ilimradi iaminike. Ikumbukwe siku ya kuchukua form Konga Hersi alikuwa Kigali tayari.
Ukiwa public figure shida sana, maana si kila jambo unatakiwa ulitolee ufafanuzi, hivyo wabaya wako wanakupopoa wanabaki kuku enjoy.
Weka aina ya mbao unayouza
Mninga, Mpiripiri, Mkongo, Mkurungu, Mpodo, Mkangazi, etc
Weka bei ya jumla, weka bei yako ya reja reja.
Tangaza biashara kwa kujiamini.
Dunia yote ipo hivyo....nenda chaguzi za marekani angalia wamiliki wa Tesla, Facebook & Whatsapp, Google & Youtube, Microsoft, etc namna wanavyochangia kampeni kwenye chaguzi zao.
Muda wa kujifunza zaidi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.